Urusi wanasema air defence zao marekani kaziogopa na wala hakupita huko je hivi si ni urusi huyu huyu alisema S400 ina cover anga lote la syria,israel,lebanon mpaka iraq au mi ndo sielewi vile?
Hapo mkumbuke yule mnyama aitwaye popo au B2 Bomber katulizwa sana maana naskia ana hasira sana tokea vita ya sadam hajatoka popote kalala ndani tu zaid ya kufaya mazoezi ya viungo.
Pili Iran ajiandae hii ndo target number one yaani atatandikwa vibaya sana
Tatu urusi ameonyesha utoto sana na...
Ile issue ya gamanywa watu walipigwa laki laki zao kama ada ya mafunzo na ahadi kedekede kumbe alikuwa anategemea kupeleka proposal bank ndo apate mkopo wa mil 200 mradi wa mashamba uanze ikashindkana zkaanza mbwembwe tu mpaka leo kimyaaaaaaa hata hawasemi lolote.
Ona mwngne anasema eti kuku ukimfungia ndani anabadilika anakuwa si wa kienyejia aaahahahaaaaa Mungu wangu aisee tumuheshimu Mungu viumbe vyake havichakachuliki kabisa tofauti ya chotara na kienyeji iko wazi chotara halalii na anataga mayai mengi sana,pia hata muoneakano chotara ukimuangalia...
Jamaa unataka kuwaaminisha watu kuku chotara na kienyeji wote wako sawa? Uwe na huruma na wenzio kuku chotara hana sifa znazofanana na pure kienyeji kuanzia nyama na kutaga kisha kulalia chotara halalii kabisa...pia wengi wao ni wakubwa sn tofauti na pure sa usje mdanganya mtu humu pengne ye...
alishajipanga kwa lipi hivi urusi zaid ya tishio LA nuclear na gas anayouza ulaya ana kipi kingne cha kujivunia au kupambana na mabepari na mabepari now yanapambana kuhakikisha yanapata gas toka Qatar yakifanikiwa ujue kiuchumi urusi amekwisha maana hata hayo masiraha yote anayomiliki bila pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.