restore 1985
Member
- Dec 1, 2017
- 93
- 126
- Thread starter
- #41
Si kila aliyeko humu au kila kijana ana smartphone hujui kwamba mtu ukiwa hata na tecno ya batan yny operamin humu unaingia na fb kasoro whatsapp tu...
- Binafsi natumia nokia X2-01 ya batan naingia humu bila shida
- Si kila mtu anaweza fanya biashara mtu anaweza uza asset yake kw ushawishi afanye biashara na asfanikiwe mtaji unapotea na cm umepoteza.
- Binafsi natumia nokia X2-01 ya batan naingia humu bila shida
- Si kila mtu anaweza fanya biashara mtu anaweza uza asset yake kw ushawishi afanye biashara na asfanikiwe mtaji unapotea na cm umepoteza.