Recent content by Respect Sennetor

  1. R

    Napinga sehemu ya malipo ya Lema...

    No point hapo!!! U could rethink b4 ya kuandikia jamii statement kama hizi!! Hamna mahusiano ya chuki hapo kabisa!! Basi japo mwakani badirika come up na vitu vya kujenga Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  2. R

    CCM na sera za kujivua gamba na kutokuitwa waheshimiwa viongozi wa chama hicho

    Mara nyingi sera kama hizo hazina maazimio ya wengi hivyo kupigiwa kelele jukwani ni ngumu kaibuka mtu m1 na kauli hiyo sasa mpaka augwe mkono na nec,, ila ya kujivua gamba nui dhahiri ccm wamechemka vibaya mno hawana uwezo wa kuwavua waliowakusudia maana nguvu zao ni za mamilioni ya watu na kwa...
  3. R

    CHADEMA imejipanga vipi kwenye majimbo haya?

    Wananchi ndo watakaoamua ndugu zangu sisi pengine hatupo jimbo la Arusha wala Nyamagana tunapiga kelele tu humu!! The right leader from the right party will win the election, let's leave them decide wether ccm did o cdm did the best!! Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  4. R

    Pres.Obama(Miaka 4,safari-32),Pres.JK(Miaka 7,safari 392),Hayati Nyerere(Miaka 25,safari 68)

    Anaenda birthday, kupumzika , kusalimia jamaa, kuomba msaada wa ccm na kujijenga Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Back
Top Bottom