Recent content by Res-q

  1. Res-q

    Nimekataliwa kisa kabila langu

    Duuuh.. Hiv haya bado yapo tuuu.. Pole ndugu..
  2. Res-q

    Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

    Nawashukuru sana Ndugu zangu kwa michango yenu mizuri. Nitafanya hivyo kwa kutumia ushauri wenu vizuri respect kwa Proffesor, Cybernetic na wengineo mwenyezi Mungu awabariki nimepata mwanga sana. Asante.
  3. Res-q

    Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

    Duuuuuh Mangatara Nakushukuru sana. Bado hatuna mtoto ndoa Ina miezi 6 sasa. Nashukuru sana kwa ushauri wako.
  4. Res-q

    Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

    Nna 27 na mwenzangu ana 30.
  5. Res-q

    Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

    Haya... Lakini mi naona ilikua poa tuu siku mbili hiz tatu ndio shida imeanza kutokea.. Sio kwamba ni kibamia Yuko kawaida tuu. Labda mnisaidie kama kuna mtu anafahamu vitu asili vya kuongeza nguvu za kiume.
  6. Res-q

    Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

    Asanteni....
  7. Res-q

    Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

    Mnaotukana poa tuuu yatawakuta. Ila ki ukweli Nilitaka kusaidiwa tunaenda wapi kwa matusi watanzania? Kama Huwezi kuchangia si uache upite tu.
  8. Res-q

    Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

    Asante Jingus kwa ushauri...
  9. Res-q

    Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

    Tulikua tunafanya vizuri kabisa nashangaa siku hizi mbili tatu mambo hayaeleweki...
  10. Res-q

    Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

    Joasi nna kilo 64 hiv...
  11. Res-q

    Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

    Nisaidie banaaaa..
  12. Res-q

    Nashindwa kumfikisha nifanyaje?

    Jamani Naombeni msaada wenu. Nashindwa kufanya mme wangu afike kileleni. Mara tukianza nikiwa juu nikikaa muda kidogo anasema namuumiza akija juu yangu kikichomoka anakasirika na kinakua kimelala sasa. kanikasirikia sasa tatizo nini? Nifanyaje?
Back
Top Bottom