kuna mawili hapo.inaweza kuwa imeshot board ikafa.la pili ifungue isafishe hata kwa petroli.ikaushe.na isiposoma.ukiwa umeifungua.kwa juu kabisa kuna kadude kanaonekana kama keupe kana tumaandishi kwa juu.hiyo ni kama fuse.huwa inakata .unga moja kwa moja
Matangazo yapo vizuri tu, kagua tu mfumo wa dish lako hapo nyumbani,au hata decoder inaweza kuwa na shida ,jaribu kumshirikisha fundi kama huo ujuzi haufahamu.n,b,signal quality inatakiwa 65 hapo haiwezi kukatakata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.