Kumekua na vipindi vingi katika TV na Radio station mbali mbali,
Tukiongelea zaidi Media kubwa kubwa unahisi ni kipindi cha aina gani kwa sasa kikianzishwa kitateka watu wengi, kiwe kipindi cha kueleimisha na kuburudisha pia chaweza kuhusiana na kitu chochote kama siasa, michezo na...
kma wewe unapenda mziki wa richmavoko karibu tujumuike pamoja kwenye group ambayo ipo kwa ajili yakusapport mziki wa richmavoko pia utawez kupata updates exclussive kabisa make mavoko tupo nae kwenye hiyo group
habari za majukumu wana jf, naomba kuuliza kuhusu chuo cha Kilimanjaro institute of technology kilichopo sinza mapambano na mwenge, je hiki chuo kiko vizuri kwa ufundishaji upande wa course ya IT? maana kuna jamaa yangu amekosa nafasi UCC anataka aende apo Kilimanjaro make bado wanadahili...
nilikua ninataka kwenda kusoma certificate ya IT katika chuo cha UCC na tiar nafasi nilishapata yakuanza mwezi wa tisa ila kuna mtu kanishauri kwamba nikasome hizo professional course za cargo niachane na habar za certificate, sasa bado nipo njia panda ndomaana nikaja kuuliza apa jf kwa...
Kuajiriwa kunategemea na nini? naomba maelezo kidogo kuhusu hilo, Mimi nataka nisome course moja wapo kati ya hizo mbili kwa ngazi ya certificate
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za mihangaiko wana jf, mwenye uelewa kuhusu course zinazotolewa na chuo cha swisport kilichopo airport Dar es salaam ningependa kuuliza kuhusu ajira za hizo course tofauti na kufanya kazi kwenye shirika hilo la swissport unaweza kufanya kazi wapi? na je uhakika wa kupata ajira baada ya...
vipi kuhusu hosteli kwa tawi la city centre make niliambiwa chuo hakina hostel ila kuna hostel za private, sasa hizo za private zinapatikana wapi na kwa gharama gani ?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.