Kweli mitaani yapo sana,
Unakuta mtu anakuchukia bila sababu yoyote na hujawahi mfanyia lolote baya.
Marafiki wengi pia wanafiki ukipata tatizo anakuwa kama mfariji wako ila akitoka anaenda kukusema vibaya kwa wengine.
Binadamu ndivyo walivyo waweza msaidia mtu lakin akaenda kukutangaza...
Wanajamii
Sidhani kama ni kweli kiwango cha ufaulu kimeongezeka tena kwa kiwango kikubwa hivyo, mfumo uliopo sasa wa GPA ni tofauti na uliokuwepo wa divisions hivyo kiwango cha ufaulu hakiwezi linganishwa kwa usahihi.......
Pia mfumo huu watu hawajauelewa, matokeo yangekuwa yametoka kwa...
ni aina ya ASUS altec lansing .
PROCESSOR AMD 1.36 Ghz ,HARD DISK 700 GB na RAM 4 GB
MATUMIZI YAKE ni office works like dealing with microsoft package (word,access,powerpoint etc), printing,KUANGALIA MOVIE MUSIC, NA KUCHEZA GAMES.
ram nili-upgrade kutoka 4gb to 6gb lakin nilivyoona no...
Jamani laptop yangu aina ya ASUS inasumbua saana kuwaka na ikikubali kuwaka inaweza freeze nisiweze fanya lolote nimejaribu kupiga windows chini na ku-install upya lakin bado tatizo lipo palepale,
Nishapiga chin windows kama mara tano hivi na kubadili RAM kwa kuhisi labda ndogo but the problem...
Ni jambo linalonishangaza sana gharama ya gari pamoja na usafirishaji hadi bandarini (dar) ni ndogo ukilinganisha na TRA duty....... ni kwa nini TRA duty iwe kubwa kiasi hicho kwa nchi maskini kama TZ yenye wananchi maskini.? halafu wala nchi wanaingiza magari yao bila TRA duty... hii ni haki?
Kiukweli hapa Tz hakuna mfumo wowote kuwaendeleza watu kulingana na vipaji vyao, tunaingia kwenye mfumo wa elimu ya kikoloni na bila shaka twajua kuwa hii elimu wameturithisha wakiwa na lengo la kujinufaisha wao hivyo sisi hatuwezi kuza vipaji vyetu zaidi ya kuendelea kuwategemea wao.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.