Recent content by reitebarhey

  1. R

    Mwl.Nyerere alifanya jambo hili mbele yangu mwaka 1998

    ... ama kweli alikuwa bb anayeona mbali, alijitoa kwa ajili ya taifa letu, na hakubagua kama waongo fulani wanavyobutua tu maneno, ni zawadi ambayo hawa wa leo ungewaita sawa tu na maboya ya uongozi ukiwalinganisha na ndo maana makanisa yanachomwa, watu wanaiba mali za taifa, dhahabu zetu...
  2. R

    Afisa uhamiaji Mwanza aliyenusurika kuuawa na polisi ashambuliwa kwa nondo!

    .... wabongo tunashangaa nini wakati huko mbeleni wengine waliozea rumande maana wake zao walikuwa wanawapendeza wakuu.... ndiyo tza yenye amani, lakini tupene pole.
  3. R

    "Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

    ... walimwacha jk maana pengine naye ni p jamii! Ila ingawa kifo ni kifo wala haifurahishi; hapa pengine inafaa watu wajue kuwa, kifo cha mwangosi kimeanza kuzaa, maana auaye kwa upanga naye analiwa na upanga, walimwua mwangosi hata kutoo taarifa ilikuwa nongwa wakazidi tu kutudanganya...
  4. R

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    acheni kufananisha kilimanjaro na kishuguu, nani haoni hili basi labda hata kufikiri kwake ni shida tupu!
  5. R

    Dunia yalaani kifo cha mwandishi Daud Mwangosi

    ... Not only his police but JK should be taken to International Court of Justice for Intimidating, Underating the Opposition parties of this land, and using the security organ of the Nation in favour of Ruling Party.... to the extent of killing innocent lives. Moreover using the National Radio...
  6. R

    Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

    Ni haki kuwa na tume hurru na siyo ya serikali mm nashangaa bado kuna wanaotetea ujinga na ubaradhuli kama huu kumtesa anayedai haki yake, niseme pole kwa wasioweza kuelewa hilo, karibu dr kwa wazo hilo na pongezi rais wetu.:flypig::flypig:
  7. R

    Iran kuleta madaktari 1,000 Tanzania

    .... tuibinafsishe wizara ya afya naona serikali yetu imeshindwa kuiendesha.... au labda wageni kama wairan wataiwezesha.... maana madaktari wetu labda wameshindwa. :yawn::yawn::yawn::yawn:
  8. R

    Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

    hi serikali ya nani? Je madaktari hawana haki kusema katika mazingira hayo magumu, je kuwafukuza ni dawa swali kwako je wanasiasa wanalipwa kiasi gani na ukilinganisha wao na madaktari wetu ni nani wana kazi ngumu?:deadhorse:
  9. R

    Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

    hi serikali ya nani? Je madaktari hawana haki kusema katika mazingira hayo magumu, je kuwafukuza ni dawa swali kwako je wanasiasa wanalipwa kiasi gani na ukilinganisa wao na madaktari wetu ni nani wana kazi ngumu?:deadhorse:
  10. R

    Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

    Dr. Ulimboka usijali mwana ww hujamkosea Mungu, kwa kudai haki, utapona tu, siku zote Mungu ni wa wanyonge na waonewa, wafanye wanalotaka utapona tu, aliyekuokoa katika mikono fidhuli atakuokoa tu; waseme wanaleta waganga wasiwalete serikali ni ya raia, na raia daima watashinda tu wataonewa...
  11. R

    Mnyika ashinda kesi dhidi yake; Hawa Nghumbi atakiwa kulipa gharama za kesi!

    :lock1::lock1::lock1: Ni wewe tu mnyika ukishindwa wee nani asimame, yaani maghamba yakae nafasi yako haiwezekani, hapo hata mola atakuwa amelala, hongera baba, Tetea wanaubungo wako na taifa kwa ujumla wake, maana siye Chadema tuko nawe bega kwa bega, Dr. Slaa na Nahodha wa Nguvu Bungeni Mbowe...
  12. R

    Waraka wa wazi kwa mh. Raisi dr. Jakaya mrisho kikwete - kutoka udom

    we nd meshimiya anatanua braisilia sasa saa ngapi atakumbuka ya udom si unajua saasa hatakuja kuomba tena kura kwenu muanguke ccm au cdm au ile cuffff yeye hanayo habari bali anaendelea kujaza mfuko wake huoni na salma safari hii kaupatia brasilia... poleni watz jibu ni kwenye boxsi la kura kama...
  13. R

    Chadema toeni kauli katika hili

    CHAMA cha Matumaini, haki, dira na mwelekeo wa Raia masikini Tanzania, Toeni Kauli, hali hii ya wagonjwa kufa kama wageni na Wakimbizi ktk Nchi yao Inatisha... DR Slaa Sema BB!
  14. R

    UDSM: Rais Kikwete atunukiwa PhD ya heshima katika sheria

    ...ha ha.... hhaaaaaaaaaaaa na ni hongera lakini si wangempa na ya kucheka!!!!!!!!!!!!!! au hii haijafikiriwa bado; mpeni mtu anachostahili, kama vile ya usaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii\! Ah jama maprofesa wote UDSM kweli wameshindwa kuona hilo ama wanaogopa kufukuswa?
Back
Top Bottom