Recent content by reginahope

  1. R

    BOT na Kashfa ya kuuzwa kwa sarafu ya mia tano /Tsh 500

    habarini wandugu....jamani hivi kuna ukweli wowote kuwa hz mia tano za sarafu zimeadimika kutokana na watu kuzificha na kuuza km silver ambapo hupata pesa zaidi? na km ni kweli hv serikali haikuliona hli kutengeneza pesa yenye thamani ndogo kuliko gharama ya madini yenyewe?
  2. R

    GE2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

    kwa lugha rahis tunaweza kusema kuwa naye anakiri kuwa serikali ya kikwete ilikuwa na mapungufu makubwa sana...utekelezaji ataweza au ndo wale wale tu
  3. R

    Toyota IST inahitajika

    nimekupm namba km vp nitumie pics whatsapp
  4. R

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    tukitupilia mbali ushabiki naungana na mou kuwa kuna kampeni ya kuinyima ubingwa chelsea lakini sidhan km watafanikiwa..mechi ya leo ingeisha mapema sana ila ndo hvyo refa kaamua kuua..two clear penalties zilitosha kabisa kumaliza mechi hadi half time..nadhan chama cha soccer cha uingereza...
  5. R

    Toyota IST inahitajika

    Habari wapendwa kama heading inavyojieleza nahitaji toyota ist iliyo katika hali nzuri ningependelea haswa namba c au d budget yangu ni 7.5m. kama utahitaji tufanye biashara unaweza kuniPM Mungu awabariki wote
  6. R

    Bei ya carina show room

    asanten kwa ushauri wenu Mungu awabariki
  7. R

    Bei ya carina show room

    Habarini wandugu, napenda kuuliza hizi gari aina ya carina kwenye show room naweza kupata kwa 7m? Kwa mwenye ufahamu naomba msaada. Asanten Mungu awabariki
  8. R

    Carina inauzwa bei chee

    tuma picha zaidi km gari ipo
  9. R

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    jins city alivyocheza leo akiendelea hivi hivi chelsea atatangaza ubigwa mapema....tukiacha ushabiki city hayupo vizur na huenda round ya pili akapoteza mechi nyingi zaidi
  10. R

    toyota raum

    asante kwa taarifa ubarikiwe
  11. R

    toyota raum

    habari wandugu..napenda kuuliza hiz gar new model show room zinaenda shilingi ngapi? kwa mwenye uelewa jamani...asanten na wkend njema wapendwa
  12. R

    Mtandao wa airtel mbovu au ni simu yangu!

    mimi nimegombana nao pia kuna mkaka nimempigia simu kumueleza shida angu anakauli mby ikabidi nimzingue tu..huduma ya airtel money wamefunga account yangu wananambie nimekosea no ya siri mara 3. namba hyo hyo huwa naitumia kila siku.....wasipo badilika na hizo kauli zao watapoteza watu wengi sn
  13. R

    Kuvimba kichwa cha uume

    Napenda kuuliza mme wangu anatatizo la kuvimba kwa kichwa cha uboo ambalo hutokea tukimaliza kusex. Halina mda mrefu tangu limuanze, mwenye kujua shida ni ninI karibu kwa mchango wako.
  14. R

    SAUT acheni kuumiza wanafunzi wenu kwa pass mark

    kwa nini haulalamiki na mitihani ya vyuo iwe inafanana kwa vyuo vyote? km umeshindwa kufaulu saut we bas hubebeki
  15. R

    nataka kununua toyota ipsum

    habarini wapendwa..jamani mimi naipenda sn hii gari na napenda niinunue ila tatizo siijui kiundani matatizo yake pamoja na ulaji wa mafuta.kwa wanaoifahamu naombeni ushauri pamoja na bei zake
Back
Top Bottom