Recent content by reggie8219

  1. R

    Wasichana ni nini sababu ya kutofanya mapenzi mpaka kuoana?

    Ilishanitokea mimi, nikaja stuka kwamba kuna mtu mwingine alikua anakula. So, nikachukua maamuzi magumu, kuachana. Anayekwambia hivo dunia ya sasa uwe very skeptical maana hata ndani ya ndoa unaweza nyimwa kumbwe mwingine anakula. Ukianza onekana ---- mapema, hata kwenye ndoa itabidi uonekane...
  2. R

    Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

    Hili ndo tatizo la wasichana wengi hasa Watanzania. Kwani akikutongoza kwa heshima zote amekukosea nini heshima? Anakutongoza kiustaaarabu, na wewe mjibu kiustaarabu kwamba haitawezekana wewe kua nae. Kwanini unaanza kumkimbia. Just be straight forward, 'hey, I don't have any feelings for you'...
  3. R

    Je, Una maoni gani juu ya mahari?

    Unayo mifano ya makabila hayo?
  4. R

    Mwanaume kuvaa chupi ya mwenza wako imekaaje?

    If such symptoms persist, please seek medical advice.....
  5. R

    Je, Una maoni gani juu ya mahari?

    Nna swali moja kuhusu hii kitu Mahari: Ni kweli kwa baadhi ya makabila, mahari huamuliwa na msichana anayeolewa na si wazazi?
  6. R

    Hataki kabisa tutumie Condom

    Mwambie mkapime ili m-gegedane live....
  7. R

    JamiiForums members walioko Virginia, US

    Nina safari ya kikazi maeneo ya Leesburg, VA. Ningependa kuonana/ kujuana na members wa Jamii forums walio huko. Unaweza ni PM.
  8. R

    Nimemsaliti mchumba wangu, nimueleze au nitunze siri hii?

    Swali moja hujajibu nyakoo. Did you use protection (condom)? Usije ukampa mme wako mtarajiwa magonjwa. Halafu angalia sana sana maana kama ume cheat sasa ivi, ni highly likely uta cheat kwenye ndoa maana ndoa in ups and downs.
  9. R

    Wadada wa kazi na visa vyao, nimemtimua wangu jana

    Nyie mnaopiga makofi wafanyakazi wenu!! Ngoja na wewe ufanye kosa ofisini halafu bosi wako akupige mateke na makofi mbele ya wafanyakazi wenzako. Halafu mtu kama wewe ni mnyanyasaji mpaka kwa mke wako. Nenda tubu na uombe msamaha. Ungemfukuza bila kumpiga siku hiyo hiyo. Wewe na wengine malipo...
  10. R

    Mitazamo ya kike na kiume

    Either umuumbe wako umpe vyote unavohitaji au utasubri mpaka Pablo Picasso afufuke aje akuelezee michoro!!
  11. R

    Inawezekana kum-date rafiki yako wa siku nyingi?

    Nimekua nikiuliza swali hili mara nyingi kwa watu mbalimbali. Kati ya majibu mengi, wengi wamekua wakisema kwamba unapoanza kumtaka rafiki yako wa siku nyingi kimapenzi ni sawa na kutaka urafiki uvunjike na mkosane kimoja. Mnapokua wapenzi baada ya kutoka kwenye urafiki wa siku nyingi, mnaanza...
  12. R

    Mbio za Urais Ndani ya CCM sasa Zimefikia Pabaya

    Hapo lugha ya kuudhi iko wapi? Unataka kila mtoa maoni awe kama wewe? kichwa kimoja fikra moja?
  13. R

    Alininyanyasa sana nilipofukuzwa kazi, MUNGU ameniona, sasa yamegeuka

    Msamaha ni jambo muhimu sana maana hata sisi wanadamu tunasamehewa na Muumba kila siku. Ni muhimu pia kusali na kuiombea ndoa maana hizo ni challenges za ndoa. Anyone can go astray!
  14. R

    Alininyanyasa sana nilipofukuzwa kazi, MUNGU ameniona, sasa yamegeuka

    Pamoja na maisha mengi, poa unapata heri. Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani. Ambaye haheshimu mzazi wa pande yoyote ile katika ndoa, basi atapoteza hiyo heri na maisha yake hayatakua marefu. Sijawahi comment lakini leo hii hili limenigusa maana nna mifano hai. Malipo ya...
Back
Top Bottom