Recent content by regam

  1. regam

    The English of the Tanzanian President Magufuli

    Unamaana Yule aliyepita alifanikiwa kutembeza bakuli la msaada kwa sababu inglishi yake ilikiwa nzuri?
  2. regam

    The English of the Tanzanian President Magufuli

    Hivi english ya maraisi wa nchi nyingine unazijua? Pamoja na kwamba wako ulaya, lakini english ya wakuu wa nchi za ujerumani, Italia, Spain nk ni mbovu zaidi ya unavyofikiri. Nenda Asia ndo utachoka kabisa. Mfano mzuri ni huyu rais wa vietnam aliyetutembelea hivi karibuni Tanzania. English si...
  3. regam

    Picha: Madhara ya Magufuli Kuwatishia Wakuu wa Wilaya/ Mikoa

    Ni mwanae huyo aliyebebwa
  4. regam

    Picha: Madhara ya Magufuli Kuwatishia Wakuu wa Wilaya/ Mikoa

    Doing the same thing in the same way expecting a different outcome
  5. regam

    Lumumba hapakaliki, CCM kwafukuta

    Kuna jambo huwa linanikasirisha mimi. Ukimualika kiongozi kwenye shughuli mf kuwa mgeni rasmi lazima umpe bahasha(pesa). Hii nayo ni kero kwelikweli.... Hotuba yenyewe unamuandalia halafu unampa posho wakati ipo ndani ya majukumu yake.
  6. regam

    Magufuli afyeka 50 waliokuwa kwenye orodha ya kushiriki ziara ya Madola

    Kazi ya mabalozi wetu nje ya nchi ni nini?
  7. regam

    Original Samsung Tab4 10.1 inch kwa laki5 tu!

    Kwa anayehitaji same model mie ninayo ila nauza laki 6. Sms au whatsup 0719123216
  8. regam

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nauza Samsung Galaxy Tab 4 10.1. Ni nzuri sana, inafanya kazi vizuri. Bei 600k. Sms au whatsup 0719123216
  9. regam

    Samsung Galaxy Tab 4 for sale

    Laki sita ndugu
  10. regam

    Samsung Galaxy Tab 4 for sale

    Almost new. Model SM-T531, capavity 16Gb, memory 4Gb. Screen 10.1, ina screen protector, nice cover, for price and more info whatsup me 0719123216
  11. regam

    Naomba Ushauri: Nataka ku-import mizinga ya kisasa ya nyuki toka China

    Mzinga unaendana na saiz ya nyuki. Unaweza leta mizinga nyuki wakashindwa kuingia na ukapata hasara. Kuna jamaa kaagiza mizinga kama 100 kaiweka misungwi na hakuna nyuki hata mmoja kaingia kwa sababu ya size.
  12. regam

    Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

    Hii post imetengenezwa leo saa 23:30 kana kwamba ilikuwa 31.3.2011. Jaribu kufuatilia mtiririko wa matukio utaona ni kweli ninachoandika. Haina ukweli wowote kabisa.
  13. regam

    Pombe inavyoharibu ubongo wabinadamu

    knowyourlimits.info/know…-effects-alcohol
  14. regam

    Rais Kikwete: Sina mgombea Urais

    Inanukumbusha wimbo wa Bob Marley unaoitwa ' Who the cap fit, let them wear it'
Back
Top Bottom