Mtu mpaka atoke nje ya ndoa ina maana ndani kuna mapungufu ambayo anatoka nje kuziba mapungufu hayo, kwahiyo inawezekana ukafumaniwa na ukampiga chini aliyekufumania na kuendelea na mgoni au kuachana nao wote! Fumanizi haliwezi kujenga uhusiano na linaacha kovu ambalo halitakaa lifutike hata...
Clemence ametoa ushauri mzuri wenye sababu zinazoweza kuwa ni chanzo, wanawake wa kuokota Corner bar au Kimboka hawna mvuto wa kweli na kuna wasi wasi mwingi ukiwa nae, kwahiyo hata kwenda round nyingi ni ngumu unless umelewa kidogo.
Kingine ni mazoea, ukimzoea sana mkeo unamuona kama kaka yako...
Mimi nina miaka 9 na mke wangu hatujajaliwa mtoto na alinilazimisha sana na mimi nikafanye vipimo nilikuwa nagoma si kwakuwa nilikuwa naogopa kuwa mimi ntakuwa na tatizo ila ni kwakuwa nilikuwa najua ni mzima maana kuna girl friend alishatoa mimba zangu mbili, lakini alinishawishi nikasema...
Drugs zimechangia kifo chake maana ck mbili nyuma alionekana kuwa mlevi kupindukia na akifanya vituko mtaani na hakuwa smart kama kawaida yake, na hiyo ni moja ya dalili za mtumiaji wa drugs. Kuna habari kuwa ameonekana na nail scraches miguuni na mikononi sasa sijui ni za kujikuna c unajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.