Mkuu ni namna roho za giza zifanyavyo kazi siku hizi...kwa maana uasherati umeaminishwa kuwa kitu sahihi...kumbe si sahihi kufanya mapenzi kabla ya ndoa.
kwa upande wangu jambo niombalo kila siku ni mungu aniepushe na zinaa..si kwamba sijawahi teleza ila sihitaji kuteleza tena kwa dhambi ya...
No problem kaka!! Just mind your business mkipishana salimia kawaida usianze kuongelea mapenzi mkipata wasaa wa kuzungumza...then usisahau kuvaa vyema na kupendeza ( inshort jipende) hapo utakuja nishukuru badae.
Wakuu habarini za wakati na poleni kwa majukumu ya kila siku, Iko hivi suala la break ups, usaliti na maumivu ya kimapenzi limekua suala linalosumbua takriban watu wengi sana katika mahusiano now days.
Watu ku move on toka kwenye mahusiano yanayotatiza pia limekua kipengele kigumu sana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.