Maybe at some point uko sawa ila swala la gymy umegusa pabaya. Kama wewe unapenda mwonekano wako ukae kizembe bas ni sawa , kuna raha gan mwanaume kua na kitambi au kunenepeana mashavu na matako kama demu.
Moja kati ya njia ya kumwonesha mungu kua una stahili zaidi ,ni kutunza zawadi namba moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.