Wakuu, kuna misa ya Mwaka Mpya inaendelea sasa hivi Rome na kuonyeshwa live na kituo kimoja cha televisheni kiitwacho EWTN. Misa inaendeshwa kwa lugha ya Kilatini lakini nimefurahi sana kumuona Sista mmoja wa Kiafrika wakati wa maombi akitumia kiswahili fasaha kuwasilisha maombi huku akiombea...
Kwa sisi ambao tumemega mademu wengi wa size mbalimbali hatukubaliani na hoja hii ya uhusiano wa maumbile na ukubwa au udogo wa viuongo vya uzazi. Kuna mademu slim na k zao ndogo na mnato sana, na wengine mabonge lakini mdebwedo, and vice versa. Huwezi kum-judge demu kwa umbile lake. Ngoja...
Kumbe hatimaye Rizi amepata kwa kupitishia mabasi yake? Alishtuka kidogo mwanzoni ilipo-leak kwamba anataka kumwaga mabasi mengi. Halafu JamboLeo ndio wameandika? Haya bana.
Hilo nalo gazeti? Ni afadhali ununue Uhuru au Habari Leo kuliko Majira. Hamna kitu kabisa na ninasikia waandishi wake njaa kali, hawana hata mishahara. Asilimia 90 ya waandishi wake ni makanjanja.
Niliwashangaa sana watangazaji hawa kuonyesha wazi chuki zao dhidi ya Lema na Chadema. Huwezi ukaiita Clouds FM 'the people's station' halafu ukawa na watangazaji bogus wa aina ya Hando.
Kimaadili wao hawapaswi ku-take sides wanaporipoti kwenye chombo kama radio. Wanapaswa kuficha ushabiki wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.