Recent content by redio

  1. redio

    Je, Putin anajifunza kitu kutoka kwa Marekani na Israel? Hawa jamaa wanatoa Elimu kwa Vitendo

    Marekani na washirika wake Bado hawajawa na uwezo wa kuipiga Urusi au Mchina kwakua Moja ya mpango wa vita ni ku mzidi Adui maratatu ya uwezo wake wa kimapigano. Ukipiga hesabu vibaya iyo vita utashindwa au utashinda kwa hasara kubwa. Urusi akipiga hesabu ya kupiga u kraine kwa wiki Moja...
  2. redio

    Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

    Ata kama Ayatollah ame uwawa , Iran haiwezi kutangaza kwasasa. Itakua ni kuwatia hofu Makamanda wako wa vita na kumwongezea Jeuri Adui.
  3. redio

    Iran kwa nini wanashambulia hadi Dubai? Je watapata wanachokitafuta?

    Ata Sadamu miaka Ile ya 90 alikua akipiga makombora ya Scud kule Kuwait, Jerusalem, Saudi Arabia na Base zote za Marekani zilizopo Ghuba. Marekani na washirika wake wali mshambulia Sadam kwa muda mrefu na baadae walishika Anga la Iraq. Apo Sasa vita ikawa rahisi maana Madege ya Amerika na...
  4. redio

    Kwa nini apewe nafasi kwenda kuaga mwili wa marehemu Kadinali Pengo wakati alishatamka watu wa TEC wanamchukia na yeye ana kinyongo?

    Historia inaonyesha Kanisa Katoliki ambalo lina viongozi intellectual linaongoza kwa vitendo vya kikatili kama ubakaji, ufiraji na mauaji. Pale Rwanda Kanisa Katoliki lilihusika mojakwamoja katika mauaji ya Halaiki. Apa Tanzania TEC wanataka kutupeleka uko bahati nzuri walidhibitiwa Mapema.
  5. redio

    Angellah Kairuki: Hatutavumilia kuona Viongozi wakitukanwa Mitandaoni. Tunayo Teknolojia ya kuwabaini wanaofanya hivyo

    Unataka kuiaminisha Jamii kuwa Angela vipindi vyote alivyochaguliwa kama Waziri au Naibu Waziri alikua anapata nafasi iyo kwa kuwa Tunza wacheza taarabu!! Ivi unaanini Jamii itakubaliana na hoja zako za kipuuzi!!
  6. redio

    Tanzania yapanga kuuza sehemu ya Hazina yake ya Dhahabu kusaidia kufadhili miradi ya miundombinu

    Utajiri si ndio uo au tukakope na kurejesha kwa riba wakati tuna reserve ya kutubeba.
  7. redio

    Hii Script ya Wakatoliki Feki wa Mtaa wa Yombo Dovya Kata ya Makangarawe Wilayani Temeke Ifike Mahali Ifike Mwisho

    Katika vitu TEC na Kanisa katoliki Tanzania walikosea ni kufanya jitihada za Siri na wazi kuipindua serikali. Siku zote jaribio lako la Mapinduzi ya Serikali liki fail Kuna gharama kubwa za wazi au za Siri hunabudi kuzilipia. TEC na Katoliki wawe tayari kulipia gharama izo. Ata Shetani/ Joka wa...
  8. redio

    Ubalozi wa Marekani: Kukamatwa kwa Mwanajeshi wa Marekani Tanzania kumekuzwa kupita kiasi na Serikali

    Uzuri wenu uwa hamchoki kujidanganya ilimmuendelee kufarijiana. Fanyeni yote ila msituletee upuuzi wenu barabarani, Mtakwisha.
  9. redio

    Ubalozi wa Marekani: Kukamatwa kwa Mwanajeshi wa Marekani Tanzania kumekuzwa kupita kiasi na Serikali

    Kunywa majimengi upumzike, Jikite katika vitu vitakavyo kujenga zaidi. Uo upuuzi wenu wa ki GN Z kwasasa hauna nafasi yoyote, Jipangeni kwa 2030
  10. redio

    Tishio la Kuunda Kikundi cha Uasi

    Upuuzi na kujimwambafai kuanziaha kikundi cha uasi vinishie uko mitandaoni. Kule kwenye field msijaribu kabisa.
  11. redio

    Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

    Gari la ICC limesimama apa Buza linakusanya maoni na ushahidi aya Shime wale waathirika mjitokeze. NB: Msije mkarudia ule upuuzi wenu wa kutaka kuipindua Nchi kwa kujificha katika maandamano yasiyo na kikomo. Safari hii mtapasuka vibaya na ICC wanashuhudia.
  12. redio

    Ubalozi wa Marekani: Kukamatwa kwa Mwanajeshi wa Marekani Tanzania kumekuzwa kupita kiasi na Serikali

    Wewe endelea kutingisha makalio mitandaoni mengine usiyo ya jua yaache yapite.
  13. redio

    Mnijuze: Nani alikuwa bora kati ya Peter Manyika na Mohamed Mwameja?

    Mwameja na Manyika wamepishana kidogo katika vipindi vya kucheza Mwameja alicheza na kizazi cha Nemes na Rifat. Kabla Yao Alikua Iddi pazi na Ally bushiri Kwa ujumla Mwameja alikua Bora pale Msimbazi ila kwenye timu ya Taifa washindanibwake kulikua na Rifat Said na Stephen Nemes. Kwenye Timu ya...
  14. redio

    Ubalozi wa Marekani: Kukamatwa kwa Mwanajeshi wa Marekani Tanzania kumekuzwa kupita kiasi na Serikali

    Hakuna cha wake up call yule ni raia wa Marekani na ni Askari active member wa Jeshi la mMarekani. Amekamatwa katika kipindi cha ahalitete ya ki usalama. Baada ya mtuhumiwa kuhojiwa na kujiridhisha na Ubalozi wa Marekani kusuasua katika kutoa ushirikiano ili lazimika Vyombo husika vya ulinzi ku...
Back
Top Bottom