Recent content by redio

  1. redio

    Naandika tena kuhusu Clotous Chota Chama "Triple C" Mwamba wa Lusaka

    Bodi ya Ligi haitakiwi kupepesa macho kwa ishu za Chama, apate adhabu Tena adhabu inayo endana na mtu anaye fanya kosa lilelile la kukusudia kuumiza wenzake.
  2. redio

    Simba wanasema jana wamecheza Mpira Mwingi kuzidi Yanga, ila Gamondi anasema Yanga jana walikuwa kama wanapiga mazoezi tu

    Jana Yanga wakicheza mechi kwa kutumia Injini Moja kubwa yaani Khalid Aucho ila MaX na Muda ni Injini kubwa mbili ambazo Gamondi hakutaka zifanye kazi. Muda na Max walikua wakifanya kazi kwa 50% na khalidi aka achiwa afanye kazi kwa 100%. Kama Jana Gamond angeruhusu kitivo chote Cha umeme...
  3. redio

    Naandika tena kuhusu Clotous Chota Chama "Triple C" Mwamba wa Lusaka

    Itakua jambo la kipuuzi kama bodi ya Ligi itaacha iliipite. Chama amaekua akifanya hivi kwa muda mrefu hasa kwenye dabi ya Yanga. Bodi ya Ligi nafikiri itakuja na dawa/ mwarobaini kwa Chama kwakua amesha Fanya zaidi ya mara 4 katika dabi tofauti.
  4. redio

    Kama Mamelodi wamecheza na Esparance nusu fainal ya kwanza vipi rufaa ya Yanga?

    Ndugu mbumbu, Yanga walifahanu kama matokeo ya uwanjani uwa ayabadilishwi na Wala Mamelod wasinge zuiwa kucheza nusu kwa makosa ya Refa. Walicho Fanya Yanga ni kuitaka CAF Ione madhaifu na kuchukua hatua na kitendo icho kinawafanya CAF kuwajibika dhidi ya waamuzi. Marefa wataona kumbe Aya...
  5. redio

    Klabu ya Simba yashika Namba Moja katika Vilabu Tajiri Zaidi Afrika Mashariki

    Mpewe maua yenu, ila kama ule mnara wa Ismail Aden Rage unacheleleweshwa ujenzi wake na Hali ya umbumbumbu itaongezeka.
  6. redio

    Luambano wa Clouds FM awashauri Simba kuachana na Mo Dewji

    Mtu Alisha inunua timu miaka 5 iliyopita na mpaka Sasa anasema ameshatumia zaidi ya bilioni 55 ukiacha billion 20 za uwekezaji alafu anatokea mpuuzi mmoja anasema aondoke!! Hii Nchi inavituko
  7. redio

    Kushabikia Tena Simba bye bye

    Icho kibibi kinapenda Simba hatari, 😃😃
  8. redio

    Bila Mwina Kaduguda Simba mtateseka sana

    Yaani kwa Simba hii kweli ilihitaji mpaka Kaduguda aongee!! Simba hii ata mashabiki wanajua kua ni mbovu na ilitumika juju ya Hali ya juu kuingia makundi bila kushinda ata mechi Moja. Ni machawa pekee wa uongozi ndio Bado wameshikilia Bomba kulinda matumbo Yao.
  9. redio

    Kwanini mpaka sasa ratiba ya nusu fainali ya CAFCL haijatoka?

    Refa hawezi kutoa Red kwa faul ya Lomalisa, Lomalisa alianza kucheza tackling akiwa mbele ya Mudau ila aka ukosa mpira, Refa anacho angalia ni dhamira ya mchezaji. Kama ile faul ingekua tackling from behind ingekua red, Bahati mbaya Kuna baadhi ya mashabiki ni mambumbu wa Sheria za mpira. Ata...
  10. redio

    Kwanini mpaka sasa ratiba ya nusu fainali ya CAFCL haijatoka?

    Mechi haiwezi kurudiwa, uwezekano uliopo ni walio simamia mchezo kuadhibiwa. maana maamuzi yanahusisha vitu vingi pia itahusisha mpaka ripoti ya msimamizi wa kituo, ripoti ya Marefa waliochezesha n.k Upo pia uwezekano Yanga kuendelea na mashindano na Mamelodi kutupwa ila kulingana na mazingira...
  11. redio

    Ni kwanini SIMBA SC ndiyo timu pekee iliyofungwa Home and Away kwenye CCL 2023/2024 na pia ndo timu iliyofungwa magori mengi zaidi kwe michuano hii

    Simba haikustahili ata kuingia makundi, ni timu mbovu kupita kiasi, kilichowabeba ni kuroga mpaka vibuyu vimepasuka.
  12. redio

    Kwa ivo sasa tunaweza kuanza kulinganisha nani kafika mara nyingi robo fainali?

    Ndugu mbumbumbu nenda kamsome Tena, inawezekana viwango uelewa vya mbumbumbu vinalingana
Back
Top Bottom