Bodi ya Ligi haitakiwi kupepesa macho kwa ishu za Chama, apate adhabu Tena adhabu inayo endana na mtu anaye fanya kosa lilelile la kukusudia kuumiza wenzake.
Jana Yanga wakicheza mechi kwa kutumia Injini Moja kubwa yaani Khalid Aucho ila MaX na Muda ni Injini kubwa mbili ambazo Gamondi hakutaka zifanye kazi.
Muda na Max walikua wakifanya kazi kwa 50% na khalidi aka achiwa afanye kazi kwa 100%.
Kama Jana Gamond angeruhusu kitivo chote Cha umeme...
Itakua jambo la kipuuzi kama bodi ya Ligi itaacha iliipite. Chama amaekua akifanya hivi kwa muda mrefu hasa kwenye dabi ya Yanga.
Bodi ya Ligi nafikiri itakuja na dawa/ mwarobaini kwa Chama kwakua amesha Fanya zaidi ya mara 4 katika dabi tofauti.
Ndugu mbumbu, Yanga walifahanu kama matokeo ya uwanjani uwa ayabadilishwi na Wala Mamelod wasinge zuiwa kucheza nusu kwa makosa ya Refa.
Walicho Fanya Yanga ni kuitaka CAF Ione madhaifu na kuchukua hatua na kitendo icho kinawafanya CAF kuwajibika dhidi ya waamuzi.
Marefa wataona kumbe Aya...
Mtu Alisha inunua timu miaka 5 iliyopita na mpaka Sasa anasema ameshatumia zaidi ya bilioni 55 ukiacha billion 20 za uwekezaji alafu anatokea mpuuzi mmoja anasema aondoke!!
Hii Nchi inavituko
Yaani kwa Simba hii kweli ilihitaji mpaka Kaduguda aongee!!
Simba hii ata mashabiki wanajua kua ni mbovu na ilitumika juju ya Hali ya juu kuingia makundi bila kushinda ata mechi Moja.
Ni machawa pekee wa uongozi ndio Bado wameshikilia Bomba kulinda matumbo Yao.
Refa hawezi kutoa Red kwa faul ya Lomalisa, Lomalisa alianza kucheza tackling akiwa mbele ya Mudau ila aka ukosa mpira, Refa anacho angalia ni dhamira ya mchezaji.
Kama ile faul ingekua tackling from behind ingekua red, Bahati mbaya Kuna baadhi ya mashabiki ni mambumbu wa Sheria za mpira.
Ata...
Mechi haiwezi kurudiwa, uwezekano uliopo ni walio simamia mchezo kuadhibiwa.
maana maamuzi yanahusisha vitu vingi pia itahusisha mpaka ripoti ya msimamizi wa kituo, ripoti ya Marefa waliochezesha n.k
Upo pia uwezekano Yanga kuendelea na mashindano na
Mamelodi kutupwa ila kulingana na mazingira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.