Kweli bongo noma. wife alituma application, cha ajabu alitumiwa email ya kutoa elfu 20, na baada ya siku mbili kapigiwa simu usiku saa sita na Dr Mzanva akidai alitaka kumsisitizia kutoa hilo elfu 20 haraka.
Ha ha ha ha ha ................. in fact nilimtukana huyo Dr Mzanva
HABARI WANA JF.
Nimeamua kuanza ujasiriamali wa kulima pilipili na nyanya chungu huku morogoro.
kwa kwenye taarifa kuhusu soko la hizo product anijuze.
Wasalaam wana JF
Jamani hiki chuo kinachijiita TIU kina exist kweli?
Niliona tangazo lao la kazi kupitia zoomTz, nilituma application yangu, but naambiwa nimekuwa shortlisted so nideposit 20,000/= kwa ajili ya interview. wanadai wameamua kutafuta interview panel kwani hawana staff wa kuendesha...
Msaada wakuu, nili apply kazi Tanzania international University kupitia Zoom Tz, nimepata email kutoka kutoka kwa VC ikinitaka kudeposit 20,000/= non refundable kwa ajili ya interview. wanadai hawana staff wakufanya interview so they have decided to hire interview panel. Jamani hii siyo...
Ndugu zangu msaada, kuhusu kazi za Tanzania international University kupitia Zoom tanzania.
Nilituma CV, na wamnitumia email kuwa nimekuwa short listed but natakiwa kudeposit 20,000/= kwa ajili ya interview. non refundable, wakidai kuwa hawana staff wa kufanya interview, so they have decided to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.