Recent content by RED LION

  1. R

    Tanzania International University chafungwa rasmi

    Kweli bongo noma. wife alituma application, cha ajabu alitumiwa email ya kutoa elfu 20, na baada ya siku mbili kapigiwa simu usiku saa sita na Dr Mzanva akidai alitaka kumsisitizia kutoa hilo elfu 20 haraka. Ha ha ha ha ha ................. in fact nilimtukana huyo Dr Mzanva
  2. R

    Biashara ya pilipili na nyanya chungu

    HABARI WANA JF. Nimeamua kuanza ujasiriamali wa kulima pilipili na nyanya chungu huku morogoro. kwa kwenye taarifa kuhusu soko la hizo product anijuze.
  3. R

    Wapi tiu?

    wezi wakubwa, waliniyumia email kunitaka nilipe 20,000 kama interview fee. sikulipa na wala sijapata call yao
  4. R

    Kazi access bank

    wana interview nyingi mpaka zinachosha
  5. R

    Nafasi za kazi tanzania international university (tiu)

    Wasalaam wana JF Jamani hiki chuo kinachijiita TIU kina exist kweli? Niliona tangazo lao la kazi kupitia zoomTz, nilituma application yangu, but naambiwa nimekuwa shortlisted so nideposit 20,000/= kwa ajili ya interview. wanadai wameamua kutafuta interview panel kwani hawana staff wa kuendesha...
  6. R

    Walio itwa kwenye usaili wa Uhamiaji.,

    Msaada wakuu, nili apply kazi Tanzania international University kupitia Zoom Tz, nimepata email kutoka kutoka kwa VC ikinitaka kudeposit 20,000/= non refundable kwa ajili ya interview. wanadai hawana staff wakufanya interview so they have decided to hire interview panel. Jamani hii siyo...
  7. R

    Walio itwa kwenye usaili wa Uhamiaji.,

    Ndugu zangu msaada, kuhusu kazi za Tanzania international University kupitia Zoom tanzania. Nilituma CV, na wamnitumia email kuwa nimekuwa short listed but natakiwa kudeposit 20,000/= kwa ajili ya interview. non refundable, wakidai kuwa hawana staff wa kufanya interview, so they have decided to...
  8. R

    Okoa matumizi ya mafuta kwenye gari lako (petrol/diesel)

    Habari wana JF. Mimi ni mgeni katika jamvi hili. Ndugu mtoa maada, Vipi kwa gari zenye fuel economy system?
Back
Top Bottom