haujui mengi kuhusu Hugh Hefner.All in all hiki wanachofanyiwa black celebrities and stars ni mwendelezo wa post war against black race.Hata Rkelly na wengine wengi huko nyuma ni mwendelezo wa hiki kitu.issue si Diddy issue ni black race Hawa literally wamekuwa ni subjects...
naun
naunga mkono hoja,wenye akili tunafahamu,Hawa whites hii program wanayokitambo sana,kuua black excellence...Hakuna watu wachafu kama wazungu,rejea Hugh Hefner wa playboy mansion alikuwa anaoa hadi vitoto under 18,Kuna hadi Binti wa kitanzania (halfcast wa kitanga na kizungu miaka ya...
mwanamke mpe hela,nasema tena mpe hela,mwanamke ameumbwa na huruma,yupo tayari kulea kilema Cha aina yeyote muhimu kuwe na pesa tu ...Pesa ni sabuni ya roho,pesa ni NGUVU za KIUME,wanaume wenye pesa za kuhonga tujipige kifua na kujidai💪
Kuna shida yeyote?kwa nn tunawanunulia watoto toys ,tunawauliza wakiwa wakubwa wanataka kuwa kina nani?ni kosa kumnunulia mtoto nguo za ki-Pilot ama za sheikh ama daktari?
We mwanaume kabisa .Hongera sana ,Mzee atatunza na nyingine atatumia na familia nzima,Ile ya Mama inaishia KUTOA kwa wachungaji feki na mambo ya ajabu ajabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.