Recent content by Record Man

  1. R

    Ndoa na Mirathi inawaumiza Wanawake

    Sasa mbona sheria inasema mali ni za wanandoa. Kama unabisha nunu nyuma usimuusishe mke wake afu uwone baadae.
  2. R

    Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

    Ni ngumu kuwajua ila wanajua ni watu flani wamekausha tuu.
  3. R

    Mwanamke akikusaliti na mwanaume mwingine muache mara moja

    Wewe si ulizaa nje ya ndoa ulisolve vipi na mkeo???
  4. R

    Mwanaume kuzaa nje ya ndoa

    Sasa muelewane na nani???
  5. R

    Mlioko kwenye ndoa na watoto wenu wa nje, Mnalitatuaje hili swala?? Msaada jamani naombeni....

    Maana kuna dada mmoja namjua alizalia home kwao mtoto akabaki home kwa bibi na babu yeye akaenda kuolewa baba mtomi mitini tangu mimba.
  6. R

    Mlioko kwenye ndoa na watoto wenu wa nje, Mnalitatuaje hili swala?? Msaada jamani naombeni....

    Mama akiolewa na mwingine afu ndo hivyo nae jamaa ataki mkewe akutane na mzazi mwenzie na mtoto kuja kwake. Utaisolve vipi hio.
Back
Top Bottom