Recent content by Record Man

  1. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mlioaoa wanawake ambao hamkuwakuta na bikira zao je mnawezaje kuishi nao bila hofu?

    Mkuu sahihi sana hata church girls asilimia kubwa wanawakataa church boys pale wanapowafuatwa kuingia nao kwenye mahusiano , Mwishowe wanajikuta wapo na bad boys
  2. R

    JamiiForums Tanzania Mpambano wa ndege kwa ndege kama movie vile, ya Iran yapigwa chini

    Daaa hivyo hiya vilikuwa mbaya sana sema kulikuwa na mkono wa mataifa ya nje. Baada ya kuingia bush madarakani ndo alimaliza vita maana aliwaambia kagame na museveni anaacha kuwasupport. Ndo vita vikaisha. Baada ya hapo kagame na museveni walijaribu kuiteka congo yote but walishindwa walimtumia...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Kikao cha watu 88 waliokutana kujadili mrithi wa Ayatollah wauawa wote kwa bomu

    Watu kama 88 hivi wameuwawa hapo
  4. R

    JamiiForums Tanzania Yani kiongozi wa nchi anaejitamba ana jeshi bora anauawa ndani ya sekunde 60, kuna jeshi kweli hapo ?

    Watu hawaelewi kitu kimoja Mpk Israel na marekani wanaanzisha hio operation unajua na wanaelewa Iran ana siraha za aina gani. Na wanajua wakiaanzisha mashambulizi Nini kitatokea , Sasa pro iran wanafikili kaka Israel na marekani kama wandawazimu T14 Armata
  5. R

    JamiiForums Tanzania Sasa rasmi Mvua za Masika imeanza kunyesha huko Tehran Iran

    Iran kapagawa sasa Dubai anapiga biashara za watu Daaaaa
  6. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni nani katoa kibali kwa hii website kutengenezwa inayoonyesha picha na videos zaidi ya 600 za machafuko?

    Ishu ya mali inajuliakana mkuu. Ila uhai wa mtu ndo kitu Cha mwisho muhimu. We unashangaa Hilo, Sasa kama kikija kikundi Cha siraha Kali za kivita uhalibifu ndo utakuwa zaidi ya mara 50 uliouona. Sasa sijui mtasemaje.
  7. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni nani katoa kibali kwa hii website kutengenezwa inayoonyesha picha na videos zaidi ya 600 za machafuko?

    Mkuu mimi sijakuelewa. Yani unasema uhai wa mtu SI kitu kuliko mali za mtu?
  8. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Sexy party mkuu. Mademu walikuwa wangapi na nyie Me mlikuwa wangapi
  9. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nilichokiona Jana Kimeniogopesha. Watanzania Wamebadilika Sana!

    Yani bola wangekaa tuu makambini , wasingekuja barabarani watu tungejua tu kuwa wanajeshi hawakuwepo. Basi
  10. R

    JamiiForums Tanzania FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Hii timu sijui imekuwaje Cole palmer hakuwepo angekuwepo
Back
Top Bottom