Recent content by reboot

  1. R

    Faida za "beer" ni zipi?

    Acha kuuliza swali la kijinga inamaana wewe hujui faida za bia???
  2. R

    Nahitaji Vitz in good condition, Nina 6m

    Sio akinunua sema kuagiza huko jp nk!... kununua tu hapa bongo unaweza daka ndinga kwa bei poa tu!...
  3. R

    Kelvin Hart ni nani na ana kipaji gani?

    Angalia movie zake utamwelewa, Try hard 2015, Central Intelligence 2016 etc kweli anakipaji na ni star kwelikweli!!
  4. R

    Rais Magufuli hajui huu mchezo unaochezwa kati ya Makonda, Kikwete na hawa Homeshopping Centre

    Vyombo vya dola vichunguze ili tujue ukweli wa hili jambo!! .. mafisadi hawakubaliki awamu hii
  5. R

    Baada ya benki ya CRDB kusitisha mikopo, benki ya Posta nayo yasitisha

    Hivi nyie hamjaona taarifa kutoka IMF Tanzania yaongoza kwa ukuaji wa uchumi East Afrika kwa 6.9% na ni ya pili kwa sub-sahara countries!!...
  6. R

    Klabu imevunja mkataba na staa wa Cameroon baada ya kugundua kuwa ana HIV

    Hakufuzu vipimo ni jibu tosha kabisa hayo mengine ni uvunjifu wa privacy rights!!!
  7. R

    Dar: Polisi wavamia kikao cha ndani cha Kamati Kuu ya CHADEMA, Meza Kuu yaitwa Polisi na kuachiwa

    Ukut.. . Ni noma sana! .... yaani ni mwendo wa mapovu tuu!...[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Back
Top Bottom