Recent content by realtor

  1. R

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa gharama za tiles hizi

    Habari mkuu. Naomba kama unaweza kuniunganisha na wauzaji wa hizi tiles za grade B. Pia ningependa kujua kama bado unayo madirisha na milango used ya PVC. Ahsante.
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

    Habari mkuu. Nipo interested kwenye kununua mbuzi na kunenepsha. Naomba kama unaweza unipe mwongozo wako wa namna ya kuwalisha na kuwaboost mbuzi.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza Milk Vending Machine (MILK ATM)

    Habari Raynold, Nashukuru kwa kuongea na wewe leo na maelezo yako mazuri ya jinsi ya kuuza maziwa kwa kutumia hizi milk atm. Naamini ni technologia nzuri sana kwa sisi wadau wa biashara ya kuuza maziwa, na natazamia kununua milk ATM toka kwako. Prosper Mambo Sent from my TECNO KE5 using...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Chumba malazi kinapangishwa Kinondoni studio

    Ni chumba cha malazi kinapangishwa Kinondoni studio karibu na Stereo Bar. Kodi kwa mwezi ni TSH 70,000/-. Maji na umeme upo. Kwa maelezo zaidi wasiliana na Prosper kwa simu au WhatsApp number 0765868128. Karibuni sana. Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
  5. R

    JamiiForums Tanzania Nahitaji maghala ya kuhifadhi mahindi Songea na Dodoma

    Kiongozi asante sana kwa huu ushauri.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Nahitaji maghala ya kuhifadhi mahindi Songea na Dodoma

    Ndio kiongozi.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Nahitaji maghala ya kuhifadhi mahindi Songea na Dodoma

    Kiongozi nipo Dar es Salaam.
  8. R

    JamiiForums Tanzania Nahitaji maghala ya kuhifadhi mahindi Songea na Dodoma

    Habari zenu wadau wa kilimo biashara. Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni mdau wa kilimo cha mahindi na naomba kujua namna ya kupata maghala ya kuhifadhia mahindi kuanzia tani 1000 kwa wakati mmoja kwenye hiyo mikoa. Pia ninaomba kujua gharama na muda wa kukodisha kwa kila...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Fursa mpya ya zao la Macadamia

    Mkuu nashukuru kwa hii elimu unayotupatia. Mimi nina shamba la kahawa moshi, Kilimanjaro. Naomba kuuliza ni vipi naweza kufanya hiki kilimo cha macadamia na kahawa kwa pamoja. Asante.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Nauza Toyota Rav4 Kili Time

    Nauza Toyota rav4 Kili time shillingi milioni 8. Ni manual Ya mwaka 2000 4 wheel drive Petrol Leather seat. Wasiliana na Prosper 0765868128 Sent using Jamii Forums mobile app
  11. R

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Maharage ya njano mengi

    Mku Mkuu habari za kazi, naomba tuwasiliane kwa no. 0765868128 tuone namna tunavyoweza kufanya biashara.
  12. R

    JamiiForums Tanzania Msaada: Natafuta soko la maziwa

    Mkuu nahitaji maziwa, unapatikana wapi?
  13. R

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kununua maziwa Kibaha na kuuza Dar

    Mkuu habari,samahani bado unafanya hii biashara? Mimi niko DSM natafuta wafugaji wa kuniuzia maziwa au wauzaji wa jumla
  14. R

    JamiiForums Tanzania Biashara ya vibua mikoani

    Nipo DSM, naomba bei na upatikanaji wake. Pia tupia na picha
  15. R

    JamiiForums Tanzania Biashara ya vibua mikoani

    Habari mkuu, Nahitaji vibua, je bado unauza hawa samaki?
Back
Top Bottom