Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,093
Yaelekea huko moshi kuna High tech ya hali ya juu sana.ambayo ingelitakiwa sisi watu wa pwani ndio tuwe nayo.
Asante mkuuMkuu upo vizuri sana
Kwa mashine ya mahela hayo wawekee wateja pump nzuri na salama.And yes it is safe otherwise tusinge tengeneza. Hiyo pump ulio mantion ukitaka kuwekewa tunaweza kukuwekea but bei itakua juu.
Tuna machine ya ujazo wa chini kabisa ya lita 20 kwa bei nafuu M2. 8Je, kwa walio Mikoa mingine tofauti na Kilimanjaro watapaje huduma yako. Au una mawakala sehemu zingine za nchi?