Recent content by realnumber

  1. R

    Natafuta kazi ya Office/Stationery Attendant

    Nitumie picha yako PM nikipekazi now
  2. R

    Wadada wakiona life gumu ndio wananitafuta

    Habari wana jukwaaa #member mpya Kuna tabia ya mabinti niliotokanao kimapenzi Nyakati za nyuma kidogo hisusani wanafunzi tuliosoma nao. Takribani miaka 10 nasota chuo kutafuta shahada ya uuguzi chuo flank. Kuna mabinti flani nilitoka nao bahati nzuri walinikimbia kitokana na maisha kuwa magumu...
  3. R

    Sitaki Ajira kwa sababu naogopa kufukuzwa kazi

    Mkuu niajili kesho nijekuanza kazi
  4. R

    Natafuta kazi kwenye kampuni za kubet,stationary,duka lolote,hotel nk.

    Habari, Mimi ni kijana umri24 natafuta kazi yoyote Hususani katika makampuni,viwanda,majumbani, madukani,mashambani NB: sihitaji mshahara mkubwa Nichek PM Nina ujuzi computer application na ufundi umeme.
  5. R

    Nafasi za Kazi TFS(Wakala wa Misitu Tanzania)

    VP sifa za kuwa mlinzi lazima uwe umepitia jkt
  6. R

    Mafundi umeme njoeni tupeane michongo na changamoto zetu

    Habari, Kama title inavyojieleza, Je? Nichangamoto zipi unakutana nazo katika harakati zako za ufundi. Mimi nakumbuka nilikuwa nafanya kazi shirika moja kabla ya kuacha nilikuwa nalipwa 2k kwa mwezi.
Back
Top Bottom