Hii haina tofauti na ukulima wa matikiti maji kwenye makaratasi. Ukilima ekari moja utapata matikiti 3,000 ukipeleka Dar kila tikiti sh.2000 unapata milioni 6, ukitoa gharama milioni 1.5 faida milioni 4.5!!!
Sawa mashati 3-4 unauza Sh 23,000 - 57,500, swali inagharimu kiasi gani kupata kilo...