Recent content by Real Patriotist

  1. R

    JamiiForums Tanzania TANZIA Derrick Magoma wa Chadema Afariki Dunia

    Pumzika salama kamanda mwenzetu, alama uliyoicha na mbegu uliyoipanda hakika utakumbukwa kwa matunda na taswira yako. Mungu ni mwema kila wakati.
  2. R

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Huu utaratibu wa kuzuia maiti Hospitali ya Muhimbili kisa nduguze wanadaiwa hela ya matibabu utazamwe vizuri

    Kwanini maiti idaiwe na wakati huduma hospitali iliyotoa imeshindikana kumponya mgonjwa mpaka amefariki? Huu nao ni uhuni tu. Natamani hili liangaliwe upya litungiwe sheria ya hakuna kulipia huduma ambayo haijaleta matokeo chanya ikiwemo na hii ya matibabu ili watoa huduma wawe makini na kazi...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammedi Kawaida akiwa amebeba Jeneza lenye Mwili wa Michael Kalinga

    Tanzania taifa langu nasikitika sana, aliwahi kusema mtu fulani kuwa "wakimaliza kutushugulikia, watashughulikiana wenyewe" Zingatia hii kauli alafu tafakari sana wewe mtanzania
  4. R

    JamiiForums Tanzania Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yaanika Application 69 zilizofungiwa kwa utoaji mikopo kidijitali bila leseni

    Hii taarifa imenifurahisha sana mimi muhanga wa hawa wapumbavu, tena BOT mngesema mapema ningewapiga kabisa.
  5. R

    JamiiForums Tanzania BoT yakataza rasmi kampuni za mikopo mitandaoni kuchukua mawasiliano ya wateja ili kuwadhalilisha. Yatoa mwongozo mpya!

    Mimi natafuta mwanasheria ambaye yuko tayari tufungue kesi kuhusu hawa jamaa kutumia taarifa zangu kunidhalilisha.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Nilisema BOT hawana uwezo wa kupambana na ma sharks wa mikopo ya mitandaoni. Riba bado ziko juu, usumbufu upo vilevile

    Mimi nimesema hivi, hawa wajinga siwalipi hata iweje wao kama ni kunidhalilisha wafanye tu lakini siwalipi. Nimekopa apps kama 18 hivi.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Application za kukopesha za simu, kuhack majina ya simu za mteja bila ruhusa tofauti zile ambazo umewapa kama wadhamini

    Hawa hata ofisi zao sidhani kama ziko mahali panapojulikana
  8. R

    JamiiForums Tanzania Application za kukopesha za simu, kuhack majina ya simu za mteja bila ruhusa tofauti zile ambazo umewapa kama wadhamini

    Kinachoendelea kwenye hii mikopo ni uhuni kabisa tena ni ufedheheshaji wa hali ya juu sana.
  9. R

    JamiiForums Tanzania Gharama za ujenzi (3 bedroom house)

    Nadhani hivi ni vipimo vya kiwanja.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Nani kuivunja rekodi ya kiuchumi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli?

    Andiko lote limejaa sifa kwa mwendazake, unaonekana ni mnazi wa mwendazake. Btw aliondoa sera ya ukweli na uwazi pia kuweka sheria za takwimu mpya ili mambo yake ayafanyie gizani kama kukuzia uchumi gizani na kupika takwimu ili aonekane shujaa lakini ni yeye aliyevuruga economic system ya nchi...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Hatutazuia Maandamano na Mikutano ya Hadhara

    Maandamano ya wananchi yamebeba ujumbe ambao ni kero, nia yake ni kuhitaji utatuzi. Serikali inaona maandamano ni ya Chadema na sio ya wananchi hivyo haioni kuwajibika kwa hayo wananchi wanayoandamania. Wananchi wakichoka watatafuta namna nyingine ya kutatuliwa matatizo yao wacha awaenjoy lakini...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mwigulu, Makamba na Mbarawa hawahusiki na ufisadi

    Kwaiyo ripoti ya CAG ndio inayowasingizia hao jamaa kuhusika na ufisadi?
Back
Top Bottom