Utakuwa mpumbavu ukiamini contents zinazorushwana Chadema.
Sasa hayo maji yana kina gani to a point watu watumie boats orngalawa the una muuzaji ambayo ukiachilia kuwa ni mfanya biashara lakini piani mtaalamuwa kuogelea.
Huwezi kuona hayani maigizo?
Mmeshindwa kutoa ushahidi "source" dhidi ya taarifa potofu iliyotolewa.
*Toa ushahidi Waburundi, Wakenya or any nationality attecked in Tanzania.
*Onesha ushahidi biashara ya raia wa nchi yeyote ikiporwa or kuharibiwa in Tanzania.
Wewe ni chizi.
Mimi sijapinga kuwa traders wa Kitanzania wako affected na upumbavu wenu huko, sijapinga.
Nimekwambia, nipe source ya habari inayosema "600 Tanzanians stranded at the border".
https://x.com/KipepeComrade/status/2098527248349319505
Acha kutetea mauzauza.
Ukiachilia mbali kuwa hii historia yake ni open secret, hata yeye aliongea hili kwenye hotuba yake sema aliliweka kisanii kuwa:
"sikufabya vyema kwenye masomo yangu, primary na secondary"
Duh! unapinga mpaka ushuhuda wa muhusika!??😂😂😂
Samiais a serial failure shuleni. Kafeli moko, kafeli la 7, kafeli 4 kafeli 6. Nadhani huitaji kuambiwa nini kimetokea nchini kweti na ni kinaendelea.
Newly picked Vice President ni product ya Kigulunjembe Secondary school huko mji kasoro bahari. Yeyote aliyepita shule hiyo ni mbumbumbu wa...
Hii ni upuuzi!
Hata sisi kama tunataka sifa tunaweza kujenga haya mavitu. Wanayo fanya Rwanda, Ethiopia, Kenya na nchi nyingine za Africa ni show off ili kuonekana wameendelea wakati maisha halisi ya watu wao ni magumu sana case ya South Africa pia.
Miradi tulioifanya kwa pesa zetu, SGR, ndege...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.