Ndio mwanzoni niliwaambia kuwa Tanzania ni lazima iwe na refinery, awe Dangote ama la, hii game iliishaga kitambo sana. Wakenya wajinga na hawaelewi why Ruto alisema mapema Tanga. Wanafikiri Ruto ni mjinga.
https://x.com/KipepeComrade/status/2053444964860702918?s=20
Mwandishi wa hii article amesahau jambo moja kubwa na lamsingi kabisa:
Ndio maana nikiwasikia Wakenya na ujinga wao online, nawashngaa sana.
Toyota Tshusho report:
Hiyo ya Morocco kufund huo uwanja inaeleweka na Morocco walijenga msikiti dar. Swala la Morocco kuachana na project hiyo ni baada ya kifo cha Magu kwakua Magu aliachana na ile foreign policy against morocoo kuhusiana na western Sahara, Samia na genge lake la Mkwere wakabadilika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.