Dollar millionaires ni uongo, ni statistics za kutengeneza.
Entertainment capital ni uongo pia, watu wenu hata kwenye mechi za mpira hawaudhurii. Mnaandamana na kuuawa kwa unga tu.
heartbeat?? Ni uongo pia, moyo utafanya kazi vipi bila chakula, nchi ambayo a decent meal a day ni changamoto kwa...
Wewe ni mpumbavu!
Hakuna Stadium in Kenya or Uganda yenye ubora wa CAF na mechi zenu za kimataifa mnachezea Malawi.
Susi tunavyo vitatu: Azam, Aman, Mkapa.
Sasa wataflag vipi viwanja vyetu ambavyotayari vimeshapitishwa?
Hizi ni figisu za Kenya kuandika upya na kutujumuisha kwenye ujinga wenu.
Nenda angalie riport ya CAF kama utaona jina la Tanzania.
Ni hii ripoti ya Kenya imechomeka jina la Tanzania.
CAF walitoabripoti yao muda tu na ni Uganda na Kenya.
Cha ajabu ni the manufacturer hawatengenezi watu wao. 🚮
Nyie mnapenda kuclaim kila kizuri, Hata kiswahuili ni chenu ama kimeanza kwenum yet hamjui kuongea kiswahili.🚮
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.