Recent content by REAL Comrade Kipepe

  1. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Basi poa. Huyu mwana anadai vitu vipo vyuma ya wakati.
  2. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huko Zenzi mturuki yuko slow sana.
  3. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Utakuwa mpumbavu ukiamini contents zinazorushwana Chadema. Sasa hayo maji yana kina gani to a point watu watumie boats orngalawa the una muuzaji ambayo ukiachilia kuwa ni mfanya biashara lakini piani mtaalamuwa kuogelea. Huwezi kuona hayani maigizo?
  4. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Miaka yote ile mitano huyu maza alikuwa wapi na nini amefanyana mikopo yote ile??
  5. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mmeshindwa kutoa ushahidi "source" dhidi ya taarifa potofu iliyotolewa. *Toa ushahidi Waburundi, Wakenya or any nationality attecked in Tanzania. *Onesha ushahidi biashara ya raia wa nchi yeyote ikiporwa or kuharibiwa in Tanzania.
  6. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Take your time na usome kwanza. Huku soma ungeona hii post attached. https://x.com/KipepeComrade/status/2098526448218706201
  7. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wewe ni chizi. Mimi sijapinga kuwa traders wa Kitanzania wako affected na upumbavu wenu huko, sijapinga. Nimekwambia, nipe source ya habari inayosema "600 Tanzanians stranded at the border". https://x.com/KipepeComrade/status/2098527248349319505
  8. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Share any source of this fabrication. No Tanzanian is stranded in Kenya.
  9. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Fake news! Nipesource ya hii taarifa zaidi yahuyu Mnigeria mganga njaa. https://x.com/KipepeComrade/status/2098527248349319505
  10. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hii pitch wameenza kuonyoa panki!!:oops: :rolleyes:
  11. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    PhD ametoa wapi zaidi ya hizi honorary doctorates? Ni failure na kama failures wengine alienda India kwenye moja-mbili tatu za elimu yakuunga-unga.
  12. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Acha kutetea mauzauza. Ukiachilia mbali kuwa hii historia yake ni open secret, hata yeye aliongea hili kwenye hotuba yake sema aliliweka kisanii kuwa: "sikufabya vyema kwenye masomo yangu, primary na secondary" Duh! unapinga mpaka ushuhuda wa muhusika!??😂😂😂
  13. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nyie mnajenga kutafuta sifa ndio maana vitu vyenu vinakwama kila kukicha.🚮
  14. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Samiais a serial failure shuleni. Kafeli moko, kafeli la 7, kafeli 4 kafeli 6. Nadhani huitaji kuambiwa nini kimetokea nchini kweti na ni kinaendelea. Newly picked Vice President ni product ya Kigulunjembe Secondary school huko mji kasoro bahari. Yeyote aliyepita shule hiyo ni mbumbumbu wa...
  15. REAL Comrade Kipepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hii ni upuuzi! Hata sisi kama tunataka sifa tunaweza kujenga haya mavitu. Wanayo fanya Rwanda, Ethiopia, Kenya na nchi nyingine za Africa ni show off ili kuonekana wameendelea wakati maisha halisi ya watu wao ni magumu sana case ya South Africa pia. Miradi tulioifanya kwa pesa zetu, SGR, ndege...
Back
Top Bottom