Ndugu zangu huo waraka ni wa kupikwa jiulizeni kwanini watu hawa walipanga uhaini kwa kuandika waraka badala ya kujadiliana bila kuandika chochote, kwanini Mwigamba kakiri haraka haraka kuhusu waraka, kwanini aliyekutwa na waraka ni Mwigamba na siyo Zitto Kabwe au Kitila Mkumbo, aliye pora...