Recent content by Rcrusso Jr

  1. Rcrusso Jr

    Yamebaki masaa 17 Agustino Polepole akinukishe.

    Sema Mshana Jr umetuangusha mno mi nikajua na ule utaalamunwako ungefanya kitu asee tusingefika hapa
  2. Rcrusso Jr

    Watumishi wanasema hongera Mama, Jambo lao la July Wameliona. Watakulipa fadhila Oktoba

    Nahisi wewe ni wasojulikana uko doria mtandaoni kutupima pressure.. Ili mpate wa kubeba kutishia wengine.. mnatia hasira mno kiukwel... Kimsingi HATUPIGI KURA FANYENI MTAKALO WENYEWE MRADI TUNAKULA HAKUNA TABU IKO SIKU ALOWEKA ARDHI ITUPE UHAI ATAAMUA.
  3. Rcrusso Jr

    Watumishi wanasema hongera Mama, Jambo lao la July Wameliona. Watakulipa fadhila Oktoba

    https://www.instagram.com/reel/DMYhRBjB9I6/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
  4. Rcrusso Jr

    Watumishi wanasema hongera Mama, Jambo lao la July Wameliona. Watakulipa fadhila Oktoba

    Acha kuwa zwazwa asee wakati ni kama unajitambua . Hebu tufanye 150,000*12=1,800,000*5=9,000,000... Halafu yeye akistafu after hiyo 5yrs unajua mafao yake? Bado unajua malipo yake na posho na familia yake? Hajapiga bado kujinufaisha unadhani yeye Hana akili kung'ang'ania madaraka? Mana kimsingi...
  5. Rcrusso Jr

    Polisi wavunja Ibada ya Kanisa la Ufufuo na Uzima, wawataka Waumini kutawanyika

    Hivi bongo hakuna brothers movement ya kujitoa muhanga ila unalipwa kabisa familia yako na nduguzo wataishi vizuri? Like jamaa walotekeleza September 11??
  6. Rcrusso Jr

    Kipanya: M21, M29, M38, M40 na M66

    Ukitazama picha utaona magufuli akupokea deni hakuluongeza ...kalivusha kama lilivyo
  7. Rcrusso Jr

    Naomba kujuzwa, kesi CMA inaweza kuchukuwa muda gani?

    Tuna wakili ila sasa kesi inaenda kuwa gharama mno..
  8. Rcrusso Jr

    Naomba kujuzwa, kesi CMA inaweza kuchukuwa muda gani?

    Mimi ndio mshtaki mkuu, yes nilimanisha revison.. ila mshtakiwa mara nyingi hatukei kwa muamuzi..na mwanzo tulishinda .. tumerudi upya.. ilichukua mwaka miezi minne
  9. Rcrusso Jr

    Naomba kujuzwa, kesi CMA inaweza kuchukuwa muda gani?

    Habarini, Naamini wote mu wazima, wakuu msaada kujuzwa kimsingi kesi CMA inaweza kwenda muda gani? Na kama zaidi ya mara mbili unapata ushindi mshtakiwa anakata rufaa. Au wakati kesi yaendelea hatokei siku ya kuitwa mara kwa mara na mara nyingine hatoi tarifa ya udhuru kabisa. Msaada...
  10. Rcrusso Jr

    Binti afanyiwa uonevu na anyimwa haki ya kuitwa kwenye usaili

    Mimi ni mmoja wapo, imewahi nitokea hivyo, na kila kitu kipo.
  11. Rcrusso Jr

    KERO Kasino Kwa Msango Gulani, Kimara Suka tuna ukosefu wa maji kwa karibu miezi miwili

    Moods naomba mniamdikie ni kasino sio kasini... Eneo ni kimara suka gulani (kasino kwa msango)
Back
Top Bottom