Hapa target ni pesa.... Hawa jamaa sijui wanatuonaje wananchi aseee... Badala wapambane mawasiliano yawe rahisi na hata huduma za internet zishuke bei wao wanabana wanasahau dunia sahivi mi internet... Wanambania elon musk
Nimeenda nimepewa account number ya manispaa kulipia ... Ila karatasi yao ina upande wa control number .. je naibiwa kuweka kwa account au?? Je baada ya kumaliza kulipa kiasi nilichopewa nilipe nini kitafuata nimewauliza wamenambia nimalize kulipa maelekezo mengine nitapewa nikimaliza kulipa...
Nimeenda nimepewa account number ya manispaa kulipia ... Ila karatasi yao ina upande wa control number .. je naibiwa kuweka kwa account au?? Je baada ya kumaliza kulipa kiasi nilichopewa nilipe nini kitafuata nimewauliza wamenambia nimalize kulipa maelekezo mengine nitapewa nikimaliza kulipa.
Jana tu asee maeneo ya jirani na mataa ya tanki bovu, kuna jamaa alitaka kunisababiahia ajali Haki Ya Mungu... Ni vile Mungu alikuwa upande wangu nikatoka nikamuachia njia nilicontrol piki piki na kuvua gear mpaka nikasimama nikiwa nje ya barabara... Jamaa alivyoona vile akakimbia pia na...
Hapo shida kubwa ni kutaka asilimia wao kila jambo wanauliza vipi tunakulaje hapo na sisi?? Yetu ngapi? Hapa flani bado hajala.... Si.kweli kuwa wanatukumbuka na kutuwaza hawa watu.. Bora atokee dictator mmojawemye uchungu na nchi na raia..hata kama takuwa anakula pia si mbaya.. eg the late...
Habari ndugu mwanajamvi wa JF,..matumaini tu wazima na tunaendelea kuhangaika katika kutafuta mkate wetu wa kila siku (japo tuliomba atupe ila kumbe sio kupewa ni kuutafuta kwa nguvu nyingi jasho na hata damu)
Back to the topic, (Tatizo ni wananchi au wenye nchi???) Na je ni nani mwenye nchi...
Kinachofurahisha na wengi hawajui... Ni kosa miaka mitano hii hapa, wanaendelea kula mishahara na posho kama kawaida.. hiyo inavutwa vutwa mpka 2025 kesi imeisha wanarudi upya kupambana au kuhama chama kabisa.. lengo mkono ufike kinywani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.