Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,331
- 4,241
- Thread starter
- #21
Najua sasa hivi anamwaaga binti yake kabla ya kukinukisha.Kanali ana mikwara sana
Najua sasa hivi anamwaaga binti yake kabla ya kukinukisha.Kanali ana mikwara sana
Hahahahahaaaaa umenifanya nicheke kwa sauti kubwa 🤣😅😆😂yani huyu,, sa red wa nini nyau wew🤣
Mimi nadhani naye ni part of their plan!!!Kanali ana mikwara sana
Naunga Mkono hojaMi naona kama mwamba anatupanga tuu
kisasi ni ibadaAlipata kusemaje kipenzi chetu kwenye suala zima la kulipa kisasi ?
Amiin🙏🙏kisasi ni ibada
TusibiriKanali ana mikwara sana
Bange mbaya sana ..Niko zangu tu hapa nikitetemeka balaa. Hule mkwara kaka yake Polex2 aliouchimba asubuhi mwamba hatanii yuko serious ukizingatia ni kanali, yuko jeshi la NATO anabusu hadi mamba tumekwisha.
Imebakia masaa 17 tu.
Wanaomshikilia Polepole si wamwache tu wampeleke Segerea kwa mama yake akiwa huru? Hii itasaidia sana kuleta sitomfaham.
Am telling you the truth wasipofanya hivyo hell will break loose na hata sisi ambao hatuhusikii tutadhurika na kuhathirika.
MODS please help us am fakingscared!
View attachment 3508325View attachment 3508326
adriz de mbusii
Sema Mshana Jr umetuangusha mno mi nikajua na ule utaalamunwako ungefanya kitu asee tusingefika hapa
AI hizo, mi nataka nisikie mlio tu.Siyo jambo la kuchukulia kirahisi. Kuepusha hili janga wamuachie tu bila hivyo tumekwisha yule jamaa is highly trained in military offensive techniques. Na ana vijana wake wako gado vibaya sana wanatumia highly sophisticated weapons. Wamuachie tu Polepole.
View attachment 3508333