Mm naamini hiyo kauli ni kweli, ila october 25 kila mtu ajiandae kuchukua kichinjio chake tayar kuwatoa ccm madarakan. Hebu vijana tuache maneno mengi ila tufanye kwa vitendo october 25
Wadau ivi ni vigezo gan ambavyo huwa vinatumika kuweka rank ya hivyo vyuo. Tafadhal mtoa post inabid awe na vigezo vilivyo tumika katika kuuweka ubora wa vyuo
Agriculture engineering ni coorse nzuri, vitu ambavyo vinafundishwa ni vya kawaida sana na kimsing the course is simple especially pale sua. Kwa anayetaka kuja kusoma, aje tu. For more infomation wasiliana na watu wanaosoma moro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.