Kuosajili wanaweza kuchukua muda na mm nilikuwa nahitaji kuendelea now sasa sijui niwafanyaje , kosa ni la nani hapo na je naweza pata haki yangu ki vipi
Wanatoa ndio ,Tanga , na mtwara lkn sisi tumemaliza mwezi wa sita mwaka huu 2016, lkn kumbe koz yetu haijasajiliwa na sasa nahangaika mie cjui hta nifanyaje
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu mm nimesoma sheria katika chuo cha utumishi (Tpsc) wa umma Mtwara , na nataka kuendelea na elimu ya juu lkn cha ajabu nataka kuendelea na bachelor , nimefika Nacte wananambia kuwa course nlokuwa nasoma Tpsc haijasajiliwa , na nimeangalia mtandaoni nacte ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.