Recent content by Rayvanny wa jamiiForums

  1. Rayvanny wa jamiiForums

    JamiiForums Tanzania Karibu bongo ambayo mwanaume akimsaidia mkewe kwenye haki basi utasikia amerogwa huyo siyo akili zake

    Karibu bongo ambayo mwanaume akimsaidia mkewe kwenye haki basi utasikia ndugu na majirani wakisema amerogwa huyo siyo akili zake
  2. Rayvanny wa jamiiForums

    JamiiForums Tanzania Ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie

    Hivi ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie?
  3. Rayvanny wa jamiiForums

    JamiiForums Tanzania Historia ya Qur'an

    Quran imeshushwaje mwezi wa ramadhani wakati uislam ulianza baada ya kushushwa kwa Quran na Muhammad ndiye aliyekuwa muislam wa kwanza Kama una aya inaosema kuwa manabii kabla ya Muhammad walikuwa na mwezi wa ramadhani onyesha hapo au reference yoyote kama ipo Pia kwanini Allah ashushe...
  4. Rayvanny wa jamiiForums

    JamiiForums Tanzania Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo

    Hatari sana vijana wanaupwiru hao
  5. Rayvanny wa jamiiForums

    JamiiForums Tanzania Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo

    Siunialike na mimi baby 😂😂😂
  6. Rayvanny wa jamiiForums

    JamiiForums Tanzania Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo

    Yani Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo.
  7. Rayvanny wa jamiiForums

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumechoka sasa tunataka Vitambulisho vya Taifa vipatikane kwa haraka na uhakika

    Ni wazi Watanzania wengi hawana kitambulisho cha taifa yani hili suala la kutoa kitambulisho cha taifa hapa nchini limekuwa kama jambo la hiari kwa mamlaka husika hali inayoweza kuchochea uwepo wa rushwa. Suala la kupata kitambulisho cha taifa lisiwe biashara wala mizungusho kama vifaa hakuna...
  8. Rayvanny wa jamiiForums

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya kesi ya ndoa inakaribia kusomwa, anataka tugawane mali wakati alinikuta nimesimama. Sitaki hilo litokee, nachanganyikiwa

    Kwenda kwa mganga ni kujizidishia mchawi ambaye atakuroga kwakumlipa achana na wale wanao roga bure
  9. Rayvanny wa jamiiForums

    JamiiForums Tanzania Ninampango wa kufungua kampuni ya uongozaji wa watalii ndani ya Tanzania

    Post closed
  10. Rayvanny wa jamiiForums

    JamiiForums Tanzania Mikopo inayoendelea kuombwa kwa kasi na Serikali hivi huwa inaenda kweli kwenye sehemu husika au inaisha tu juu juu?

    Wanachukuliwa hatua gani hao wasimamizi yani pesa ikopwe na mkuu alafu nusu ipotee bila mkuu kuchukua? Hapa kuna mchezo mchafu wa mauza uza unendelea
  11. Rayvanny wa jamiiForums

    JamiiForums Tanzania Mikopo inayoendelea kuombwa kwa kasi na Serikali hivi huwa inaenda kweli kwenye sehemu husika au inaisha tu juu juu?

    Ndugu zangu watanzania hivi hili wimbi kubwa la mikopo inayokopa serikali huwa inaishiaga wapi mbona hatupewi maelezo yoyote au taarifa yoyote kuhusu utekelezaji wake? Nchi inaingia kwenye madeni makubwa sana hii lakini huku gharama za maisha zikizidi kupanda na asilimia kubwa ya wananchi...
  12. Rayvanny wa jamiiForums

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi tu ndio nipo single kwa miaka 24 au Ndiyo nimefanywa niwe kama mfano kwa wengine

    Broo pole sana unajua Siamini kama kuna kitu kinaitwa usaliti kwenye ndoa ila ni vile tu watu wengi hawana ule uwezo wa kumtambua mtu unaye endana naye kimaisha matokeo yake unajikuta umeingia kwenye matatizo usiyo yatarajia
Back
Top Bottom