Uko sahihi Mkuu. Interview nyingi nilikuwa naishia written tu, nikafanya MDA&LGA nikafika oral na nikapata kazi. Yaani oral ya kwanza ndio iliyonipa kazi, Tena Taasisi nzuri tu
Hata sisi tulijaza taarifa zote lakini za benki hatukujaza, then baadae tukiwa nyumbani tukapigiwa simu tutume taarifa za bank na mshahara ukaingia tukiwa bado nyumbani
Mungu ni mwema, hatimae leo na mimi ameniona. Niliyoyapitia ni mengi sana, nashukuru mno kwa hii hatua. Mungu ni mwema, narudia tena Mungu ni mwema[emoji1545]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.