Wanajamvi nawapongeza kwa maoni yenu mazuri juu ya masuala mbali mbali.
Nahitaji kununua gari.
Naomba kufahamu kati ya Nisan Dualis na Toyota allex ipi ya kuchukua apa na kwasababu zipi.
Nikweli kabisa ila ukianza na kuweka kidogo kidogo haiwi kazi ngumu sana.
Kwa mfano halisi mimi kipindi nahitaji kupaua gharama ya kupaua jumla ilikuwa 7M (hapa inajumuisha mbao, misumari, pesa ya ufundi, pesa ya ubebaji mbao na bati kwenda site pamoja na batibati nilikuwa nahitaji Alafu kwa...
Wanajamvi Salaam.
Nahitaji kununua gari kwa mara ya kwanza, naomba kufahamu kati ya Toyota Allex, wish na subaru impreza ipi ni gari bora na kwasababu zipi.
Natanguliza shukrani za dhati kwa majibu yenu mazuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.