Utakuta jitu kubwa et linasema wamenunuliwa lakin wakienda kwao wanajitambua, ukiona unanunuliwa bas ww zwazwa unaweza kuja kuuza hata nchi ndo mana hampewi nchi mna fikra ndogo xana
Watu wana mabwawa alafu we unapeleka kimbilimbi chako lazma udhalilike xaxa cha msingi nikutembea na chupa za soda akisema kidogo namtolea muhongo wa jangombe
Pointless unadhan upande wa pili ndo wapo wenye maono??? Asikuambie mtu huko ndo wanafiki kufa kaka aiwezekani waliokuwa wanawatukana leo hii ndo mashujaa wao never bro hatuwez fika tuendako ktk Hali ya namna hyo kimsing kila mtu anapaswa kuamini anapoamin bas uctake wote waamini uaminicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.