Recent content by ray101john

  1. ray101john

    Kwa mnaohitaji kununua magari - tukutane hapa

    Poa jombaa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. ray101john

    Kwa mnaohitaji kununua magari - tukutane hapa

    Mkuu naulizia rav v 2006-7 limited edition 3.5 liter v6 zinapatikana kwa bei gani na pia vanguard ya 2007 bei yake je Sent using Jamii Forums mobile app
  3. ray101john

    Ukaribu wenye kutia shaka sana

    Duuh ! [emoji125] [emoji125] [emoji125]
  4. ray101john

    Kwanini wanaume wengi sana siku hizi wanapenda kuoa mwanamke aliyeajiriwa?

    Na kusali au swala pia inasaidia sababu yataka moyo sana kuishi na mke ambae ameajiriwa na pia muwe watu wa kuvumiliana
  5. ray101john

    Kwanini wanaume wengi sana siku hizi wanapenda kuoa mwanamke aliyeajiriwa?

    Kwani mnakutana Leo na kuona kesho tu mkuu lazima mkae wote at least muanze as friends japo siku hizi hamnaga izo mambo mchunguzane na muwe mmeridhika sio unamkuta anakazi tayari you have to start from the bottom hivo inakua ngumu sana kukuzingua...a good example ni kama ndoa za zamani za wazazi...
  6. ray101john

    Kwanini wanaume wengi sana siku hizi wanapenda kuoa mwanamke aliyeajiriwa?

    Me kwa mtazamo wangu ina make sense coz hujui kama mke anakutegemea tu what if siku ukafa labda afu we ndo mlishaji familia...ndugu watafata na kuchukua vitu kama ilivo kawaida mke atabaki hana hili wala lile but kama anafanya kazi walau atalea watoto na hawata pata shida lengo ni kusaidina...
  7. ray101john

    App nzuri zaidi kwa bass ya in ear earphone ni ipi?

    Jaribu power amp play store ila ni trial na ina expire after two weeks kutaka kupata app yenyewe inabidi ununue..just try uone how it works
  8. ray101john

    Pata note 5 mpya kabisa

    Mkuu mbna hiyo so note 5,angalia position ya camera hizo ni note 4
  9. ray101john

    Love quote gani huwa inakuinspire katika mahusiano yako?

    ""The truth is, everyone is going to hurt you.You just got to find the ones worth suffering for."" - Bon Marley
  10. ray101john

    Tushare game za android

    Apart from vita from the same game loft kuna hii asphalt 8 airborne nayo sio masihara excellent graphics, controls the best car game kwenye simu
  11. ray101john

    Tushare game za android

    Am using note 4 pia try sniper furry play store lipo limekaa poa sana from game loft
  12. ray101john

    Historia ya Paul Makonda iwasisimue Vijana

    Wabongo bwana yani mlivokua mnatumbua wafanyakazi wengine na kuwafukuza sababu ya vyeti feki hamkujali hata kama walipitia au walikua na historia ngumu mpaka kupata hizo kazi mlizo watimua...Leo hii mnakuja mfananisha DAB na mtu kama Obama kweli jamani,tuache uswahili na apa wala Tusimwingize...
Back
Top Bottom