This is so warped! Tena dada nahisi unachanganya na effects za matumizi yaliyokithiri ya digital devices. Mimi nasoma vitabu sana, baba yangu aliniambukiza nafikiri. Ukiacha kwamba ni starehe yangu, kusoma hakujanifanya niwe mtu wa kujitenga, kwa taarifa yako sababu ya kupenda kusoma sana masomo...
Daah wewe mzee una masharti mengi sana kwa mtu ambaye anahaha kutafuta 2 dollars kwa siku, Mara sitaki vitu intellectual, mara sihitaji referral, mara sitaki nini ... sasa kitu gani kwa ulimwengu wa sasa ambacho kitakuja tuuu kwa wepesi bila kuwa na skill yoyote?
Asante kwa mada nzuri, nimeipenda sana na ninaamini itabadili maisha yangu. Swali langu kwa vile ni wa siku 21 je tunaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa na wenza? maana mwingine anaweza asielewe. Pia kama mie ni beginner, usually nafungaga ya saa 12, je siwezi nikawa nakunywa kitu kizito zaidi ya...
Habarini wanajukwaa. Nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza pipi na Big-G, je wapi naweza kupata pipi kwa bei ya jumla? Nimetembelea Kariakoo na Manzese ila nimeona bei ni zile za wanaouziwa wafanyabiashara wengine na sio super supplier.
Simama na Mungu kaka. Huyo binti kashatolewa kafara na wazazi tangu utotoni mwake. Hujiulizi kwa nini mama hataki mtoto wake mwenyewe atibiwe? Zinduka. Hao ni wachawi
Pole sana mkuu. Hivi sisi masingo mathaz tunakoseaga wapi? We get a bad reputation. Anyway ningekuwa wewe nisingemrudia huyo binti. It seems ndani yake bado ana utoto fulani hivi wakati tayari age-go. Na usiyumbishwe na baba mkwe maana vitimbi unavipitia wewe sio wao. Hawakutafuti sababu...
Habarini wanajukwaa, natafuta dry ice kwa ajili ya kuhifadhia lambalamba zangu kuna mahali nimealikwa nikauze. Nina frezer lakini ni kubwa haliwezi kuingia kwenye usafiri wangu na kukodisha naweza nisipate faida ninayohitaji.
Nimeambiwa kuhusu dry ice eti wanatumia vijana wa Bakhressa. Kuna...
Alivyojibu Cariha ni sawa, yaani hata sisi kwetu inakuwaga ngumu. Mie dada wa kazi akiniulizaga hilo swali naweza hata kuchukua masaa mawili sijamjibu 😂. So nimeweka ratiba
Ila saaa ninapomuuliza shemeji yako lengo ni kujua anajisikia kula nini. Mimi baby wangu anapenda sana mambo ya misosi, so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.