Ngumu kubishana na mtu ambaye yuko informed. Mleta mada inaonakana anajua kuliko anayosema
Nimeipenda hiyo issue ya TRANSPARENCY. Kama serikali haitaki kuwa open na haya mambo matokeo yake watu wataanza kusema na kutafsiri wanavyooona wao sawa
Nasubri kumsoma Pascal mayalla on this
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.