National Transport Sector Masterplan chini ya Magufuli Administration iko wapi?

RAY DONOVAN

Senior Member
Jul 2, 2015
153
145
plan_masse_de_laeroport_de_chongqing_chine_0.jpg


Inabidi tuwe na mipango ya kujenga uwanja mkubwa wa ndege kama huo nje ya mji wa Dodoma kwa kuangalia mika 50 ijayo.


Commander in Chief wetu NDUGU MAGUFULI wenyewe wanamwita MR INFRASTRUCTURE ambaye number 1 obsession yake ni haha mambo ya miundombinu lakini la kushangaza hatujaona any ambitious plans ambazo anataka kuzitimiza in 5 au kama akiweza kupita in 4 yrs time itakuwa ni 10 yrs

Ukweli ni kuwa mipango yote ya maendeleo tuliyonayo ya 5 year development plan, MKURABITA, MKUKUTA, Tanzanian Vision 2025 hayaendani kabisa na hali halisi on the ground ambayo haijaangalia ongezeko la watu (karibuni tutakuwa milioni 55), dunia inavyokwenda,na Ndugu Magu anaonekana wazi kuwa hana interest ya kufanya structural reforms na ku unleash private sector

It will be interesting kusoma na kupata mawazo ya wengine.
 
Mkuu hiyo hoja ya msingi sana.

Tukianzia Vision 2025 Hii ni vision ya CCM kwa sababu wengine nje ya CCM hawakushirikisahwa. Besides iliokuwa externaly driven.
Baada ya hapo sera nyingi sana zilitungwa tena kwa matakwa ya CCM bila ushiriki wa wadau.
Usiulize mrejesho wa jitihada za sera za serikali zilipofikia kwa sababu wahusika wengi hawapo au wamekuwa rendered irrelevant.

Nimetanguliza hoja ya hapo juu kwa sababu ndiyo inaasisi Master plan.

Mchango wangu kwenye hoja hii ni kuwa tuwe wapole tumeyataka wenyewe. Tusubiri huu uitawala wa kimbumbumbu utakapoamua kutupa fursa ya kutoa michango yetu serikali itakapokuwepo.
 
Back
Top Bottom