Dili la suala Energy kununua Pan Africa Energy: Ikulu iache kiherehere

manyuu

Member
Jul 21, 2016
37
69
Nimesoma kwenye gazeti la leo kuwa TPDC wamepewa maelezo na Wizara ambao nao wamepewa maelezo na Ikulu wazuie ununuzi wa hiyo kampuni

Sasa cha kujiuliza kwa nini Ikulu iingilie mambo ya ununuzi au uuzwaji wa Kampuni? Hili jukumu ninavyofahamu ni la wizara ya Biashara, CMSA, TRA, Wizara ya Fedha, Wizara ya Madini,TPDC na Wizara ya sheria.

Sasa Ikulu kwa nini ina kiherehere cha kuingilia mambo? kwa nini wasiwaache wahusika wakafuatiia na kujua ukweli ni upi?

Hivi ikiwa Ikulu (ya zama hizi za Magu) inaingialia kila jambo kutafanyika kazi kweli?

Swala kwa maelezo yao walifuata taratibu zote za kisheria, na waliruhusiwa (na vyombo vyote husika hapo juu) kuendelea na ununuzi. Kishaa kwa sababu zisizoeleweka jamaa wa Mtaa wa Lithuli wanakuja na maelezo kuwa kila kitu lazima kisimamishwe bila maelezo yotote yale as if wao ni regulators wa hii industry.



Hii nchi ina safari ndefu sana.
 
Ukiona ikulu imeingilia basi ujue kuna jambo chafu nyuma ya hiyo kampuni. Ila hapa ndio huwa nashindwa kuielewa serekali. Kuna deal nyingi chafu lakini zinafanyika kwa kificho ili ccm isionekane imeharibu nchi. Nilitaraji mahakama ya mafisadi ionyeshe uwepo wake.
 
Orca exploration ambayo ndio inamiliki PanAfrican Energy(Mauritius) na PanAfrican Energy(Tanzania) ina Market Capitalisation $189 million. Halafu Swala Energy inataka kununua hisa kidogo za PanAfrican(Mauritius) kwa USA $130 million. Hii ni sawa na dhamani na 69% ya kampuni yote ya Orca Exploration. Something is not right!,
 
Mleta mada unajiamini nini kusema "ikulu ina kiherehere?" Duh!Kwa hali ilivyo sasa unapata wapi uthubutu wa kutoa kauli hiyo?After all unaotuletea hoja hapa wala hatujui hasa nini kinatakiwa kifanyike,nini kinafanyika sasa na kwa nini ikulu isiingilie iwapo hakina maslahi kwa taifa ama kitaweza kuleta athari kikifanyika bila usimamizi thabiti..Tunachoona ni neno kihere here tu!
 
Nimesoma kwenye gazeti la leo kuwa TPDC wamepewa maelezo na Wizara ambao nao wamepewa maelezo na Ikulu wazuie ununuzi wa hiyo kampuni

Sasa cha kujiuliza kwa nini Ikulu iingilie mambo ya ununuzi au uuzwaji wa Kampuni? Hili jukumu ninavyofahamu ni la wizara ya Biashara, TRA, Wizara ya Fedha, Wizara ya Madini,TPDC na Wizara ya sheria.

Sasa Ikulu kwa nini ina kiherehere cha kuingilia mambo? kwa nini wasiwaache wahusika wakafuatiia na kujua ukweli ni upi?

Hivi ikiwa Ikulu (ya zama hizi za Magu) inaingialia kila jambo kutafanyika kazi kweli?

Swala kwa maelezo yao walifuata taratibu zote za kisheria, na waliruhusiwa (na vyombo vyote husika hapo juu) kuendelea na ununuzi. Kishaa kwa sababu zisizoeleweka jamaa wa Mtaa wa Lithuli wanakuja na maelezo kuwa kila kitu lazima kisimamishwe bila maelezo yotote yale as if wao ni regulators wa hii industry.


Hii nchi ina safari ndefu sana.
Tujue Kwanza financial status ya Swala Energy, je ni kweli wanaweza kununua Na kuendesha shughuli za Pan African Energies? Nadhani Ikulu imetilia mashaka uwezo mdogo wa Swala Energy
 
Tujue Kwanza financial status ya Swala Energy, je ni kweli wanaweza kununua Na kuendesha shughuli za Pan African Energies? Nadhani Ikulu imetilia mashaka uwezo mdogo wa Swala Energy

Isseu hapa ni kwa nini Ikulu wao wanaingilia kila kitu?

Nchi ina vyombo husika ambavyo vina wataalam wa kuangalia haya mambo

Sasa kama ndio hivyo bas wizara za Sheria, Madini, Fedha, Biashara na bila kusahau TPDC na EWURA zote ziwe chini ya Ikulu.

Haiwezekani wao kila kitu wafanye wao

Mazungumzo na ACACIA yanafanyika Ikulu kila kitu ikulu

This mean kuwa:

1. Mkuu wa nchi hana imani na vyombo na wizara alizoweka watu wake

2. Hana imani na watu wake aliowapa madaraka na mamlaka

3. Ikulu inapenda ku micromanage kila kitu

Na kama ikulu haina imani na hzio idara na hao watu kwa nini sisi wananchi tuwe na imani na Ikulu?

Kukujibu swali lako, Swala Pan Africa Orca wote waliweka kila kitu waki kwenye websites zao. Info zote zipo mle
 
Mleta mada unajiamini nini kusema "ikulu ina kiherehere?" Duh!Kwa hali ilivyo sasa unapata wapi uthubutu wa kutoa kauli hiyo?After all unaotuletea hoja hapa wala hatujui hasa nini kinatakiwa kifanyike,nini kinafanyika sasa na kwa nini ikulu isiingilie iwapo hakina maslahi kwa taifa ama kitaweza kuleta athari kikifanyika bila usimamizi thabiti..Tunachoona ni neno kihere here tu!
Ndio Ikulu ina kiherehere

Jiulize kwa nini mazungumzo ya ACACIA yalikuwa yanasimamiwa na yanafanyika Ikulu?

Kwa nini wanapenda ku micromanage kila kitu?

Regulators wako, mawaziri wako, wakuu wa idara wako sasa why kila kitu kiwe ikulu?

Mwishowe tunaambiwa kuwa tunadai 190 billion usd bila breakdown yoyote ile
 
Ukiona ikulu imeingilia basi ujue kuna jambo chafu nyuma ya hiyo kampuni. Ila hapa ndio huwa nashindwa kuielewa serekali. Kuna deal nyingi chafu lakini zinafanyika kwa kificho ili ccm isionekane imeharibu nchi. Nilitaraji mahakama ya mafisadi ionyeshe uwepo wake.

Kama kuna jambo ilitakiwa REGULATOR ndio aseme na sio Ikulu na kama kuna wizi au ubadhirifu umefanywa ni kazi ya regulator kuwaachia vyombo vya sheria kufanya kazi zao na sio Ikulu
 
No comment,tunashindwa kuchangia sababu hujatupa facts za kujitosheleza.
 
Nimesoma kwenye gazeti la leo kuwa TPDC wamepewa maelezo na Wizara ambao nao wamepewa maelezo na Ikulu wazuie ununuzi wa hiyo kampuni

Sasa cha kujiuliza kwa nini Ikulu iingilie mambo ya ununuzi au uuzwaji wa Kampuni? Hili jukumu ninavyofahamu ni la wizara ya Biashara, TRA, Wizara ya Fedha, Wizara ya Madini,TPDC na Wizara ya sheria.

Sasa Ikulu kwa nini ina kiherehere cha kuingilia mambo? kwa nini wasiwaache wahusika wakafuatiia na kujua ukweli ni upi?

Hivi ikiwa Ikulu (ya zama hizi za Magu) inaingialia kila jambo kutafanyika kazi kweli?

Swala kwa maelezo yao walifuata taratibu zote za kisheria, na waliruhusiwa (na vyombo vyote husika hapo juu) kuendelea na ununuzi. Kishaa kwa sababu zisizoeleweka jamaa wa Mtaa wa Lithuli wanakuja na maelezo kuwa kila kitu lazima kisimamishwe bila maelezo yotote yale as if wao ni regulators wa hii industry.


Hii nchi ina safari ndefu sana.
Hawa viongozi siwaelewi wamevuruga tasnia ya kahawa, pamba
Makampuni mengi yameanza kufungwa
Watu wanakosa kazi kila kona
 
Back
Top Bottom