Recent content by ray assenga

  1. R

    Mbunge: Tubomoe sanamu ya askari tuweke sanamu ya Diamond pale Posta

    Bora lisionyeshwe LIVE Kama akili zenyewe za wabunge wetu ndo hizi...siwezi kukaa Na akili zangu Na elimu naangalia bunge halafu mbunge anasimama anatoa points za chekechea...tukisema ccm Ni familia mnasema sisi chdm wapiga debe..alianza lusinde Na nembo ya nyoka kwenye miatano Leo huyu mwingine...
  2. R

    Mtumie mtu mvivu kufanyakazi

    Huo Ni usemi wa Bill gate ambayo alitumia kufika hapo alipo
  3. R

    Viwango vipya vya umaarufu wa watu tanzania

    Umezingatia vitu gani katika tafiti yako
  4. R

    Mwanamkakati wa Maalim Seif aswekwa ndani na polisi Zanzibar

    Bado sijakuelewa ulikuwa unataka kusema nn kuhusu Eddy
  5. R

    TMF iko tayari kulipia matangazo ya Bunge TBC

    Khaaah we unaongea nn YEHODAYA.???kwamba bunge linaporushwa baadhi ya watu wanakuwa mahofisini!...kwan tatizo bunge kutoonyeshwa Ni kwamba hakuna gharama za urushaji wa vikao vya bunge au tatizo Ni kwamba watu wanakuwa mahofisini...akili za wapi hizo! Kwan kipindi cha nyuma watu walikuwa hawana...
  6. R

    Tetesi: Kikwete kumrithi Ban Ki-Moon

    Offcourse.....watanzania tunamuangalia kwa jicho la tofauti kuliko Wao wanamwangalia.
  7. R

    Mfumo wa Majimbo(Counties) vs Mikoa na Wilaya, upi wenye gharama kubwa katika kuendesha Serikali?

    Yaaah nakumbuka hii idea aliitoa Freeman Mbowe akichangia hotuba ya waziri mkuu pinda mwaka jana
  8. R

    Tundu Lissu aitwa na Jeshi la Polisi: Ni kuhusiana na Sakata la Gazeti la Mawio

    Hahahahhaha.....kwa Tindu lissu wasahau Hilo,hata wampeleke ICC
  9. R

    Hakuna nchi iliyoendelea kwa kubadilisha Chama!

    Muulizeni vipi uchumiwa Kenya kwa sasa baada ya upinqni kushina dola?
  10. R

    Diamond hawa ndio wabongo, chukua ushauri wangu

    ukitaka kuwa star lazima ukubali changamoto cha uanastar .......huwezi kuwa star hata siku moja bila kukumbana na changamoto za wanaokutizama!
  11. R

    Operation Delete CCM: Lema, Lissu, Sugu, Machali watafanya mkutano Arusha leo

    ukitaka kuitete ccm wakati huu inabidi ujifanye chizi au mwendawazimu ili watu wakuelewa na siyo unakuja na akili zako timamu unajifanya unaitete ccm mbele za watu utapigwa#!!!!!!!
  12. R

    Madaraka Nyerere: Serikali iondoe picha ya Mwl. Nyerere kwenye noti ya sh. 1,000

    hata hivyo kama kuna ukweli fulani ya picha hicho na ya baba wa taifa
Back
Top Bottom