Kwanini tunawasoma wana wa Israel huku?! Yaani je tuliletwa duniani kujua maisha wa watu wengine na ilhali sisi tunahistoria zetu......kama ndio ivo basi sisi tumekua watumwa sana jamani maana nijuavyo tuna mambo mengi sana ya kujifunza ili tuyatawale mazingira tuliyozaliwa na tukayakuta zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.