Recent content by rashidforeseer1

  1. R

    Mbowe apata mpinzani uenyekiti CHADEMA, ni Kansa Mbarouk

    Naona bado we ni kilaza, funguka uelewe ee msukule. Rudia nilichokiandika kuwa kanisa na misikiti ilimsaidia sana kikwete . ktk msikiti wa gadafi dodoma alito ahadi kuwa atawapTia mahakama ya kadhi ila akawapiga chenga baada ya maaskofu kukataa. Upo hapo. Tulia dawa ikuingie ili ujue jinsi ssm...
  2. R

    Mbowe apata mpinzani uenyekiti CHADEMA, ni Kansa Mbarouk

    We mbona ni kilaza? Mimi nazungumzia 2005 we unaleta habari za 2010 , huu mwaka kiwete alibwagwa japo alisaidiwa na kanisa pamoja na misikiti ikiwa pia lipumba alimsaidi. Baada ya hapo ndipo jaji boman na usalama ulimuokoa. Wasilamu walisema tumsaidie tu ili tusipate aibu kuwa wasilamu hawajui...
  3. R

    Mbowe apata mpinzani uenyekiti CHADEMA, ni Kansa Mbarouk

    Ndo maana ya kukubalika. Wengine huwa wanapita kabla ya kura kama kikwete wenu 2005
  4. R

    Salum Mwalimu achukua fomu CHADEMA kugombea Ujumbe wa Kamati Kuu

    Utafukuzwa wew mdini mkubwa. Hiyo dhambi itakutafuna hadi wajukuu zako usipotubu nakuacha kabisa
  5. R

    Diaspora tunaitosa rasmi CCM: Tunashirkiana na Ndugu Zetu Tanzania Kuwang'a Madarakani 2015!

    Hayo mengi na hasara yataje wew mbulula. Hivi hii inchi mnaipeleka kama vile hamna wasomi ninyi maccm. Mtalaaniwa kama hambadiliki
  6. R

    Wanaume Wakichaga Mna Nini?

    Na wahaya je? naona uanze kuwaambia kwanza wahaya wabadilike ndo uje kuwaambia wengine. Una bahati mbayA umekutana na mchsga wa hivo.
  7. R

    Chama cha ACT-Tanzania kutikisa kwa mkutano leo Kasulu Mjini

    mtakoma na chama chenu cha ukanda. Kila cku mnawatafuta waha tu. Zito ni sawa na mchezaji ambae hakabi anasubiri mumletee mpira kwenye box abaki na kipa amfunge alafu baadae anajivuna na kujisifu timu nzima bila yeye hamna kitu huku haji mazoezini nakutishia kuwa kocha. Sasa club imemtema tena...
  8. R

    Tamko la Jukwaa la Kikristo kuhusu Mchakato wa Katiba

    Yesu anaipenda tanzania. Kikwete utapelekwa mahakama ya kimataifa mara tu ukimaliza wakati wako
  9. R

    Wazee Zanzibar tunamtaka Mbowe

    Mnajifariji wenyewe kwa wenyewe japa. Unakumbuka lisu alivyoitwa ronaldo wa realy madrid pale zenj? ccm kwisha habari yake
  10. R

    Viongozi wa Kiislam wamtembelea Dr. Slaa Ofisini kwake

    Wew ukikua utaelewa. We hadi leo ni mchanga. Mimi nimeanza kumuelewa dr.slaa toka 2010. You late my dear
  11. R

    Prof. Safari ajitosa kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti CHADEMA taifa

    Mtoi asante sana kuwapa elimu hawa wavivu wa kufikiri. Waelewa kama cc tunaeapuuzia tu. Ccm itatoka madarakani kimyakimya au kwa grader ya mahakama ya kimataifa
  12. R

    Operation Tandaza ACT Tanzania

    Act mnajisumbua bure. Watanzania kama mmeshawasoma hahitji vyama lukuki bali wanahitaji viongozi waadilifu hatakama wapo chadema ccm au cuf. So kuunda mamia ya vyama vya siasa ni kutumia kodi zetu bure kwa ajili ya matumbo yenu.
  13. R

    Freeman Mbowe akabidhiwa fomu za kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa

    Mkuu hapa msala hakuelewi mana ukiwa ccm hatakama umesoma kichwakinajeuzwa kuwa maji kiusukule
  14. R

    Freeman Mbowe akabidhiwa fomu za kugombea uenyekiti CHADEMA Taifa

    Msalani ushafilisika huna jipya unalia tu hApa. Ccm mshakubali kupigwa bao ulaghai wenu umeisha. Yani mbowe mwenyewe ni zaidi ya usalama wa taifa mnamuogopa kama simba. Chadema ni mpango wa Mungu kitadunda daima. Ushindi kuanzia mwakani ni lazima. Ccm hawana mbinu chafu tena labda kuuwa watu na...
Back
Top Bottom