Wazee Zanzibar tunamtaka Mbowe

Wazee Zanzibar tunamtaka Mbowe

Wapi MSAJIRI - tolea ufafanuzi juu ya hili jambo - Saidia Magamba please!!! - Mbowe ni TISHIO
 
Tunawashukuru sana wazee wetu wa zanzibar , wazee ni hazina .
 
Kazi ipo na sio ya kitoto! Jamaa uongozi wake na mafanikio yake ndio yanamuweka alipo,,,hutaki kufa.
 
Mkuu Lizaboni kumbe wewe ni team buku 7 maana umeitwa ukaja kichwa kichwa cheki kwenye red ujicheke mwenyewe.....hahaha kweli kuwa ccm lazima uwe amnazo na ikibidi ukane hata jina lako umenichekesha sana mkuu asante.

CC Ritz & Co..


Wapi kimenuka Mkuu? Mie naona misukule ya Mbowe inahangaika tu



quote_icon.png
By Nikukumbushe

Buku7 Lumumba,kimenuka huku njooni
 
Back
Top Bottom