Recent content by rasChingu

  1. rasChingu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii code mkuu ni ya kampuni gani Natanguliza shukrani
  2. rasChingu

    Mwanamke huyu hata awe na msimamo namna gani, ipo siku lazima tu atachepuka

    Jamani sie tunajiandaa na mechi ya fainali ....USM ALGER VS YANGA
  3. rasChingu

    TANESCO: Tumepunguza makali ya upungufu wa umeme, wiki iliyopita ilikuwa Megawati 200-250, wiki hii 100-150

    Haya bhana Ila kwetu huku......hali ni nafuu na kabla hizo megawatt hazijaingizwa kwenye grid ya Taifa La muhimu wazipate hizo zilizosalia ili hawa wakataji wakose kisingizio[emoji16][emoji16][emoji16]
  4. rasChingu

    UPDATE: Leah Ulaya arejeshewa Urais wa CWT

    Daaah tuna safari ndefu sana ktk kuweka mambo ktk unyoofu, pesa mbaya sana..... Ngoja tuone mwisho wa hii movie Na yule Seif anaendeaje huko?
  5. rasChingu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hongera kk tunasubiri za kesho na Sisi tuanze kufata na 1k zetu[emoji16][emoji16][emoji16]
  6. rasChingu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu Asante Ila hii code inagoma msaada tafadhali
  7. rasChingu

    Tunamuomba Serikali yetu isiyumbishwe na kelele za watumishi

    Unapaswa ufikir kabla hujaandika. Mungu yupo na anasikia juu ya uchumi unaowagusa watumiahi ila wanasiasa hauwagusi. Siku zinakuja na haziko mbal[emoji16][emoji16][emoji16]
  8. rasChingu

    Sri Lanka- Serikali imetenga siku moja kila wiki kwa wafanyakazi wa Umma kwenda Kulima badala ya kwenda kazini

    Hii safi sana, ianze tu na huku kwetu Lusewa maana hii mishahara hii, haitufikiahi popote. Tutaongeza pia uzalishaji wa mazao ya chakula na biaahara.
  9. rasChingu

    Upendeleo katika Ulipaji Malimbikizo ya Mishahara ya Watumishi wa Umma

    Wakumbuke tu wao ni watumishi wa UMMA. Leo wapo ktk ofisi hizo kesho hawapo[emoji16][emoji16][emoji16]
  10. rasChingu

    CWT inashusha ari ya Walimu

    CWT ni tawi la CCM na viongozi wa CWT wote ni wachumia tumbo hawapo kwa ajili ya walimu bali wapo kwa ajili ya matumbo yao. Walau kidogo mzee Gracian Mukoba, ila hawa wa sasa hopeless kabisa kila kilichoanzishwa kinafutwa. 1. Utoaji wa Tshirts za meimosi wamefuta 2. Utoaji wa bati 20 kwa...
Back
Top Bottom