Haya bhana
Ila kwetu huku......hali ni nafuu na kabla hizo megawatt hazijaingizwa kwenye grid ya Taifa
La muhimu wazipate hizo zilizosalia ili hawa wakataji wakose kisingizio[emoji16][emoji16][emoji16]
Unapaswa ufikir kabla hujaandika. Mungu yupo na anasikia juu ya uchumi unaowagusa watumiahi ila wanasiasa hauwagusi. Siku zinakuja na haziko mbal[emoji16][emoji16][emoji16]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.