Recent content by raphaelpol

  1. raphaelpol

    Nataka nizifute nyodo za huyu dada kwa "kutembea" na mumewe

    Tukisemaga wanawake hawapendani ati wanasema twawasema vibaya, nadhan tunajionea wenyewe walivyo haqa viumbe, mweeeeh jamani
  2. raphaelpol

    Pochi Nene ni naniii!!!?

    Kumbe ndo huyu Sanchi world
  3. raphaelpol

    Pochi Nene ni naniii!!!?

    Km la omo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
  4. raphaelpol

    Pochi Nene ni naniii!!!?

    Hiyo hapo moja ya pics za huyo pochinene
  5. raphaelpol

    Pochi Nene ni naniii!!!?

    Ngoja niwaletee hizo picha
  6. raphaelpol

    Pochi Nene ni naniii!!!?

    Wapi ametajwa Mange hapa, acha kuwashwa washwa
  7. raphaelpol

    Pochi Nene ni naniii!!!?

    Mnifollow wapi mkuu!?
  8. raphaelpol

    Pochi Nene ni naniii!!!?

    Huko kunako mtandao pendwa wa Instagram kumeibuka mfululizo wa picha za mwanadada murembooo wa haja anaekimbiza kweli kweli, nimejiuliza mara kadhaa huyu ni nani, ni mwanamitindo, ni video vixen, ni mcheza porn au ni nani haswa!! Anyone knowing!!!!?
  9. raphaelpol

    Tabia mbovu: Meza nzima katika baa kuonja karanga bila kununua

    Km anaonjesha karanga mbili, watu wakiwa kumi ni karanga ishirini tu jml, hata nusu kijiko haifiki. So mleta uzi acha kiherehere
  10. raphaelpol

    Hilda Newton: Niko salama, naomba radhi kwa taharuki iliyowakuta watu wangu wa karibu

    Huyu atakua anatafta namna ya kuhamia sisiemu tu!!! Au alitaka kujiteka km vile vyuma vya kujenge a.k.a Nondo
  11. raphaelpol

    Mwenyekiti UVCCM, Kheri James ametengua Uteuzi wa Kaimu Katibu Idara ya Uhamasishaji, Jokate Mwegelo

    Yani hawa nyumbu kwa kujitoaga fahamu, kweli akihamia huko utaskia mpaka kale kahenga kembamba ka kule kwa Mr Trump kataanza kumpa shavu na kumsifia!! Yani nyumbu ni nyumbu tu
  12. raphaelpol

    Hivi ni nini kimemkumba mzee wa IPP Media?

    Kwani mzee mamvi yeye uwezo wake wa kuongea ukojeee!!? Vijana wa ufipa bhanaaa!!!
  13. raphaelpol

    Sijui ni kweli hawa wenzetu wa Dar wapo hivyo?

    Waliowabeba ni wanaume wa mikoani tu, wenye asili ya Dar hizo mambo hawawezi
  14. raphaelpol

    Morogoro: Mji wa ovyo, barabara nyingi mbovu zina mashimo

    Me nashangaa, mbona watu mnamtolea povu mtoa hoja!?? Yeye katoa mawazo yake kuhusu Moro tawn, tena kaweka na picha kusapoti maelezo yake. Sa watu mnatoa mapovu tyuuu!!! Wekeni picha za hizo barabara nzuri zilizopo Morogoro na hilo soko safi tuone hapa jamvini. Acheni undezi bhanaaa eboooo...
Back
Top Bottom