Recent content by Raphaelito

  1. Raphaelito

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Gusto nae ni mcheaji wa kubaki chelsea kuwa serious basi hapo kwa james nakubali ila gusto hapana beki hajui kukaba wala kushambulia hana madhara wa nini sasa?? moja ya anguko la chelsea ni kukumbatia na kusajili wachezaji wenye uwezo wa kawaida gusto,sanchez,badiashile,fofana,delap,pedro...
  2. Raphaelito

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwa hapa tulipofika; Ya Oktoba 29 tungeyaacha, tuendelee na mambo mengine

    Kwa hiyo unataka watu waliozika nguo wasahau kilichowapata ndugu zao???inaonekana ww hujapoteza mtu oktoba 29 huko kusahau au kukubali kutokukubaliana unaposema wewe ndo wanapopataka wenyew wahusika wa yale mauaji wanataka tusahau as if nothing happened embu jaribu kuangalia zile video za watu...
  3. Raphaelito

    JamiiForums Tanzania Hiki ndio alichokesema Thierry Hendry baada ya game ya jana kati ya PSG na Bayern Munich. UCL semi fainal

    Yupo sahihi kwa mtu anaejua mpira ataelewa ilikuwa mechi yenye magoli mengi lakin haikuwa mechi nzuri hata kidogo.Ukitaka kujua hilo angalia jana kazi ya DEFENDERS na MIDFIELDERS ni kama vile hawakuw na kazi.High scoring match YES But no Quality football
  4. Raphaelito

    JamiiForums Tanzania Series gani uliwahi kuangalia na hutamani Tena?

    wanazingua sana film industry siku hizi imekua ya mchongo hata tuzo zake nyingi since2020 hazieleweki
  5. Raphaelito

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya Yesu na ancestors wetu ni nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu?

    Hapo kwa YESU sasa Ni ipo kiimani zaidi kuliko kihistoria.Na mimi niliongelea kuhusu Historia ya Africa ambayo kwangu huwa naiona ina ukakasi zaidi
  6. Raphaelito

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Rais Samia yaliponya Taifa na kuwafuta machozi ya Huzuni waliokuwa wakibubujikwa na machozi kwa kupoteza wapendwa wao

    Kuna vitu vingine hata Shetani mwenyewe anasikitika:(
  7. Raphaelito

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya Yesu na ancestors wetu ni nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu?

    Shida ni kwamba AFRICA hatuna historia.Historia yetu ukiaanza kuichanganua hata daftari la msomi halijai.We hujiulizi kipindi cha MEDIEVAL sisi tulikuwa wapi??Waangalie jammii zingine wana historia zao za kujivunia sisi ukitoa MKWAWA,MAJI MAJI NA MILAMBO ambazo zenyewe sio za siku nyingi sana...
  8. Raphaelito

    JamiiForums Tanzania Series gani uliwahi kuangalia na hutamani Tena?

    Huwa nashindwa hata kuianza kiufupi series nyingi post 2020 nyingi sio nzuri sema ni hype tu
  9. Raphaelito

    JamiiForums Tanzania Series gani uliwahi kuangalia na hutamani Tena?

    Hzo zote nakubaliana na ww lakin kweny The sopranos???? BIG NO
Back
Top Bottom