Recent content by randallssc

  1. R

    Viwango vya gharama daraja la Kigamboni ni uhalifu dhidi ya ubinadamu

    Hatukatai kussaidia lulipa gharama za daraja lkn sio kwa mtindo huu. kama nssf wanataka hela zao zirudi kwa haraka zipo njia nyingi za kufanya unaweza ukaongeza hata 500 ktk kodi za magari itarudi fasta na kuwapa unafuu wana kigamboni lkn hii yakuchaji hadi guta nawakati kuendesha guta n adhabu...
  2. R

    Zitto jibu hili tafadhali

    Tujadiri kwa facts zaidi mwenye kuwa Na ushahidi weka hadharan Lasivyo hiyo sheria mpya ya cyber crime itakula vichwa sana kma ikisimamiwa maana jambo lolote utakalopost kama halina ushahidi n tatizo
  3. R

    Hivi usalama kwa sasa eneo la kivuko cha feri/kigamboni ukoje?

    Nilichokigundua kuhusu kivuko cha Feri jinsi wakaguzi wanavyofanya kazi yao ya kugagua in kwamba hawana uelewa wakutosha napia wanaona uvivu kumpekua mtu ili wajue kabeba nn ndan kiukwel kama unavyosema nyabhing MTU mwenye c4 anaweza akafanikiwa kupita nakuleta majanga. Jana nimevuka nimebeba...
  4. R

    Biashara ya Ukahaba: Serikali inapoteza Mapato mengi

    Andika proposal mzazi hilo wazo n xuri sema kibongo bongo tunajistukia. Ila kabla serikal kuridhia lazima kitengo maalum cha afya kianzishwe ili kidil Na Hawa makahaba kama kuwapa counseling ya safe sex Na kuwapatia condom
  5. R

    CHADEMA wakata tamaa Urais, sasa kujiimarisha kwenye ubunge

    Mmmmhhhh tupe chanzo cha hizi habari
Back
Top Bottom