Biashara ya Ukahaba: Serikali inapoteza Mapato mengi

Biashara ya Ukahaba: Serikali inapoteza Mapato mengi

Wakuu niende tu moja kwa moja kwenye point, kwanza kabisa binafsi naamini serikali yetu inapoteza mapato mengi sana!

Naamini huu ni wakati wa serikali kuharalisha hii biashara na iwe biashara harali kabisa na wanaoifanya walipe kodi. Biashara ya hawa wadada wanaojiuza, juzi kati nilipita mitaa ya Sinza usiku, Dah! Sikuamini kabisa nilichokiona kutokana na wingi wa wadada hao

Sasa nikafikiria hivi;

Kama bei yao nasikia ni Tsh. 10,000/=fasta fasta, Je iwapo kila Dada anao uwezo wa kupata kimo cha Tsh 30,000/= kwa siku, ambapo ni vichwa vitatu, kwa mwezi itakuwa ni 30,000 x 30 = 900,000/=

Je, akilipa kwa siku Tsh 5,000/= kama kodi kwa serikali, kwa mwezi itakuwa ni Tsh 5,000 x 30 = Tsh 150,000/=

Je, wakiwa wadada 500, Serikali itapata kodi kiasi gani? Itakuwa ni Tsh 150,000/= x 500 = Tsh 75,000,000/= kwa mwezi..

Maswali ya kujiuliza hapa ni;

1: Je, kwa mwaka serikali itapata kodi kiasi gani?

2: Je, ni kweli kwamba hao wadada wapo 500 ama ni zaidi ya hiyo namba?

Serikali ingezibiti tu kuwa kila mdada ahakikishe kila mwezi analeta vyeti vyake vya Afya kutoka katika moja ya kituo cha Afya kilichotengwa maalum kwa ajili yao. Na iwapo utagundulika kuwa umeathirika halafu bado ukawa unafanya biashara, basi adhabu yako ni moja tu, KUNYONGWA hadi kufa.

Kwa kila eneo iwepo ofisi ya kudhibiti maswala ya Afya pamoja na kodi yetu!

Ama wakuu nyie mnafikiriaje?

K.u.t.o.m.b.w.a yeye alafu sirikali ichukue hela!!..duh itakuwa laana.
 
yani mijitu imekaa inajadili upuuzi...haya baada ya hapo mada zenu zile za uchawi,siasa za nazi,porojo na umbea.....hivi nyie hamna watoto wa kike,au dada au ndugu yeyote wa jinsia hiyo,ufisadi siyo kuiba "vijisenti" vya mali ya uma tu,hata kujipumbaza wakati akili mnazo,acheni hizo!
 
Wakuu niende tu moja kwa moja kwenye point, kwanza kabisa binafsi naamini serikali yetu inapoteza mapato mengi sana!

Naamini huu ni wakati wa serikali kuharalisha hii biashara na iwe biashara harali kabisa na wanaoifanya walipe kodi. Biashara ya hawa wadada wanaojiuza, juzi kati nilipita mitaa ya Sinza usiku, Dah! Sikuamini kabisa nilichokiona kutokana na wingi wa wadada hao

Serikali ingezibiti tu kuwa kila mdada ahakikishe kila mwezi analeta vyeti vyake vya Afya kutoka katika moja ya kituo cha Afya kilichotengwa maalum kwa ajili yao. Na iwapo utagundulika kuwa umeathirika halafu bado ukawa unafanya biashara, basi adhabu yako ni moja tu, KUNYONGWA hadi kufa.

Kwa kila eneo iwepo ofisi ya kudhibiti maswala ya Afya pamoja na kodi yetu!

Ama wakuu nyie mnafikiriaje?


Mie nafikiria kwamba kama unaona ni biashara nzuri ya kuingiza mapato kwa hao kina dada na serikali basi washauri na dada zako au wanao na ndugu zako wengine wajiunge pie katika hii biashara. Itasaidia sana kuongeza mapato kwenye ukoo wenu.
 
Na isemwe tu kama pombe na sigara kwamba" haiuzwi kwa wenye umri chini ya miaka kumi na nane, Au kuzidisha ni hatari kwa afya yako!!!
 
Andika proposal mzazi hilo wazo n xuri sema kibongo bongo tunajistukia. Ila kabla serikal kuridhia lazima kitengo maalum cha afya kianzishwe ili kidil Na Hawa makahaba kama kuwapa counseling ya safe sex Na kuwapatia condom
 
Biashara ya Ukahaba: Serikali inapoteza Mapato mengi
Nakubaliana na wewe 100%..
Hapo kuna mengi mazuri yaweza saidia pande zote mbili..
  • Usalama kwa kina dada poa
  • Kuwa na sehemu maalum ya kufanyia hii biashara
  • Afya kwa kina kina dada itakuwa rahisi kuwahudimia
  • Usalama kwa wateja na privacy itaongezeka
  • Kodi kwa serikali au manispaa itakusanywa
  • Ajira kwa dada zetu itakuwa ya kuaminika na kudumu
  • Kutapunguza uwingi wa guest houses mitaani kama sehemu maalum itatengwa
  • Tukumbuke hawa kina dada ni wadogo zetu wajukuu zetu mama za watu na mashangazi..Lazima nao waheshimiwe hata kama hii biashara sio kipenzi cha wengi..
 
Kodi ya paye ni 30% kwahiyo ni 9000 kwa siku that means ni 270k per month ukizidisha mara 500 unapata 135 millions kwa mwezi;ukizidisha mara 12 unapata 1.62billions kwa mwaka. Unaweza ukaandika proposal serikalini kuchukua tenda ya kuwachaji makahaba kwa kuwalipa serikali 1b hiyo 620m unapiga wewe.

Nadhani wangeingizwa hadi kwenye mafao ya uzeeni,bima ya afya and the.like
 
Back
Top Bottom