naunga mkono hoja. Nini kifanyike basi ni kupangua mfumo woooote huo na kuanza upya kwa kufuatiliana, kukumbushana na kuonyana bila kuogopana. Maana sisi wabongo hatuna tabia ya kusema/kukemea maovu ya wenzetu badala ake tumekuwa watu wakuongelea chinichini tu.
FUNGUA KINYWA CHAKO PALE UNAPOONA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.